Sidebar with Floating Button
AckySHINE šŸ”
☰
AckyShine

Jinsi ya kufanya nyuki waingie kwenye mzinga mpya

Featured Image

Ukitaka kuwavutia na kuingiza nyiki kwenye mzinga unatakiwa kufanya yafuatayo;

  1. Tafuta mahali pazuri pa-kuning’iniza mzinga wako.
  2. Weka nta kwenye mizinga yako ili kuwavutia nyuki
0 šŸ’¬ ā¬‡ļø

Jinsi ya Kulima Mgagani: Kilimo bora cha Mgagani

Featured Image
0 šŸ’¬ ā¬‡ļø

Jinsi ya kulima mahindi kitaalamu kama inavyotakiwa

Featured Image

Mahindi ni miongon mwa mazao makuu ya chakula hapa nchin Tanzania na ulimwa karibu kila mkoa. Ulimwa zaidi nyanda za juu kusini katika mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Njimbe na Katavi. Pia mikoa ya Morogoro Mwanza Dodoma Shinyanga Arusha Tanga na mikoa mingine. Kwakua ni zao la biashara hivyo karibu kila mkoa unalima zao hili.

0 šŸ’¬ ā¬‡ļø

Jinsi ya kulima vizuri zao la kabichi

Featured Image

Kichwa cha kabichi kinapofunga vizuri, hutumika kama chakula na huvunwa baada ya kufunga na kukomaa vizuri. Kwa kawaida kabichi hupandwa kwa msimu mmoja, lakini iwapo itakuzwa kwa ajili ya kutoa mbegu hukuzwa zaidi ya msimu mmoja. Endapo inalimwa sehemu yenye maji ya kutosha, inaweza kulimwa msimu wote wa mwaka.

0 šŸ’¬ ā¬‡ļø

Jinsi ya kutengeneza mbolea ya maji ya kunyunyiza kwenye majani

Featured Image

Mbolea ya kunyunyiza ni nzuri kwani inasaidia kuupa mmea virutubisho moja kwa moja kupitia kwenye majani au shina ambapo ndipo chakula kinahitajika.

Faida za mbolea ya maji ni pamoja na kuongezeka kwa kiwango cha mavuno, uwezo wa mimea kukabiliana na wadudu pamoja na magonjwa, kuvumilia ukame, na kuongeza ubora wa mazao.

0 šŸ’¬ ā¬‡ļø

Faida ya kupanda maharagwe katikati ya kabichi

Featured Image

Maharagwe yanapandwa kwenye kabichi yanafanya kazi zifuatazo;

Kudhibiti wadudu (mtego).

Maharage yanaweza kupandwa kati ya mistari ya kabichi yakiwa kama mitego kwani yanasaidia kulinda kabichi dhidi ya buibui wekundu.

0 šŸ’¬ ā¬‡ļø

KILIMO BORA CHA ZAO LA MBAAZI

Featured Image

Mbaazi ni zao la chakula ambalo pia linaweza kulimwa kama zao la biashara kutokana na kuwa na soko zuri la Mbaazi.Mbaazi ina kiasi kikubwa cha protini.Mbaazi inaweza kutoa mavuno ya tani 3.5 hadi 4 kwa hekta

0 šŸ’¬ ā¬‡ļø

Namna ya kufanya Ukaguzi wa mara kwa mara wa banda la kuku kuzuia magonjwa

Featured Image

Ukaguzi wa Kila siku
• Hakikisha unasafisha vyombo vya kulishia na kunyweshea pamoja na viota.
• Ondoa kinyesi kwa kuku.
• Waangalie kuku wako kwa makini ili kujua afya na maendeleo yao. Yaani ili kutambua kama kuna mwenye ugonjwa

0 šŸ’¬ ā¬‡ļø

Jinsi ya Kufuga vizuri kware Kwa Faida

Featured Image
2 šŸ’¬ ā¬‡ļø

Mbinu za kulima parachichi ili kupata faida

Featured Image

Agronomy ya Parachichi

Hali ya hewa

-Ni tunda linalopenda sana sehemu za baridi, maeneo kama ya Rungwe-Mbeya, Njombe, Makete, linastawi vizuri sana, na huwa na Fatty Contenty kubwa

0 šŸ’¬ ā¬‡ļø
šŸ  Home šŸ“– Reading šŸ–¼ļø Gallery šŸ’¬ AI Chat šŸ“˜ About