Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image
260 πŸ’¬ ⬇️

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Featured Image

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU atoke nje" wakatoka wote ispokuwa Mchungaji na Wazee wawili.

236 πŸ’¬ ⬇️

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Featured Image
Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia baba jana anamuita dada (housegir) malaika wangu, kwa hiyo nae atapaa?
236 πŸ’¬ ⬇️

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Featured Image
Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni: Nipe nianze na soda wakati chai inachemka. Mwenyeji: Utakunywa fanta au sprite? Mgeni: Nipe fanta wakati sprite inapoa.
236 πŸ’¬ ⬇️

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Featured Image
237 πŸ’¬ ⬇️

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!.. Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!…
237 πŸ’¬ ⬇️

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About