Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Featured Image

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, tuko katika harakati za kujenga kanisa, jitafutie nafasi katika ufalme wa mbingu kwa kuchangia ujenzi huu. Na Mungu atakubariki zaidi

236 💬 ⬇️

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Featured Image
Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia baba jana anamuita dada (housegir) malaika wangu, kwa hiyo nae atapaa?
236 💬 ⬇️

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Featured Image
236 💬 ⬇️

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Featured Image
Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza vocal: Jamaa: dada mi nakupenda saana Dem: Kaka naomba umsikilize mchungaji
236 💬 ⬇️

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Featured Image
236 💬 ⬇️

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani ⛪

Featured Image
236 💬 ⬇️

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Featured Image

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,

236 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About