Log in to access your menu with tools for managing 📝 tasks, 👥 clients, 💰 finances, 📖 learning, 🔍 personal growth, and 🌟 spirituality, all in one place!.
Welcome to AckySHINE, your go-to platform for personal growth, productivity, and well-being, offering tools tailored to organize your life, manage finances, and deepen your journey.
Updated at: 2024-05-25 18:11:13 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
CHEKA KIDOGO
MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA. Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huku akiwa hajui kama mkewe malaya, Leo hii kamuaga mkewe baada ya kuondka mkewe akaanza kuingiza wanaume kama kawaida Hawara 1;nakupenda Mke Wa Mvuvi;oke, Nipe Penz Haraka Kabla Mume wngu hajarudi. Hawara 1;oke! Basi picha likaanza wakati wanaendelea mara mlango ukagongwa, akamwambia hawara mume wangu huyo jifiche darini jamaa akafanya,, mke wa mvuvi akaelekea mlangon kumbe alikua hawara 2. mke wa mvuvi; aaahaa kumbe ni wewe nilijua mume wangu bas njo haraka kabla mume wangu hajarudi.. picha likaendelea huku wa darini akiona vyote, mlangon kukagongwa mke wa mvuvi; mume wangu hyo jifiche uvungun jamaa akafanya kisha mke akajikoki kumpokea mumewe, mke wa mvvi; oooh! mume wngu pole umechoka eeh leo umepata samaki mkubwa nashukuru sana tulikua hatuna mboga mvuvi;usinishukuru mimi mshukuru aliye juu. hawara 1; sipo mwenyewe mwingine yupo uvunguni…
Updated at: 2024-05-25 17:44:57 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
👉Ujinga wa ndoto ndiyo huu ••Utaota umeokota dolla ukiamka empty… ••Utaota umeokota dhahabu ukiamka kitandani patupu daadeeki OTA Sasa UMEKOJOA….. 😂😂😂😂😂😂
Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.
Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali? Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai.
Updated at: 2024-05-25 18:13:30 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai akachukua tax wakati wa kurudi.walipofika sasa shughuli ilikuwa hivi.
Masai: we dureva? Naulisa Ng'ombe na mbusi ipi ngali? Dereva: Ni ng'ombe ghali Masai. Masai: kwanini Ng'ombe ngali? Dereva: kwa sababu ni mkubwa zaidi ya mbuzi Masai: umepata..na mbusi na kuku ipi ngali Dereva: ni mbuzi kwa sababu nae ni mkubwa kuliko kuku. Masai: Umepata.. Masai: sasa me nimekwenda kule mwenge kwa ngali kubwa nikalitoa sh. 500 hii yko ndogo unasema nikupe 40,000 wewe acha wizi.. Nitakupa 250 Tu..wee acha lbia morani…!!!
Updated at: 2024-05-25 17:48:42 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema " SIMAMA" Yule dada akasimama akashangaaa kanisa zima linamtizima kwa mshangao akiwemo mumewe, akaangalia kanisa zima akashtuka kujiona yeye peke yake ndiye aliesimama Pastor akaendelea vizur endelea kusimama, tumepata mmoja hadi sasa aliyesimama narudia kwa mara ya mwisho kama hujasikia vizuri " kama wew umewahi kumsaliti au bado unasaliti ndoa yako SIMAMA" Binti akazimia