Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Angalia anachokisema Madenge sasa

Featured Image
237 💬 ⬇️

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?
238 💬 ⬇️

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Featured Image
236 💬 ⬇️

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Featured Image

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumbani kwenu
NAKUA: Hakuna kitu kama hicho
DOGO: Kweli baba kuna jini liko kwenye kabati lenu la nguo….

236 💬 ⬇️

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Featured Image
238 💬 ⬇️

Angalia uhuni wa huyu dereva

Featured Image
Dereva alikamatwa kwa kosa la kusababisha ajari ya watu wa5 aliowagonga. Trafik akamuliza kwanin umewagonga awa watu? Jamaa akajibu,"nilikua mwendo wa kasi sana, alafu nimejaza abiria ndani, gari likawa linakuja mbele yangu nilipokanyaga breki zikakatika, sasa ningefanya nin?"
236 💬 ⬇️

Jamaa amkomesha boss wake

Featured Image
236 💬 ⬇️

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Featured Image
236 💬 ⬇️

Duh, huyu mama alichokifanya

Featured Image
236 💬 ⬇️

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza. Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe.
237 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About