Log in to access your menu with tools for managing π tasks, π₯ clients, π° finances, π learning, π personal growth, and π spirituality, all in one place!.
eBooks: Mbinu za Kilimo na Ufugaji Kukuongezea Mapato - Topic 2 - AckySHINE
Jinsi ya kulima vizuri vitunguu twaumu (swaumu)
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:45:51 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Vitunguu twaumu viungo vinavyopendwa na watu wengi hasa kwa harufu yake nzuri Kwenye chakula na uwezo wake wa kuondoa harufu mbaya Kwenye chakula (shombo). Vile vile vitunguu twaumu vinatumika kama tiba mbadala ya maradhi mbalimbali.
Mambo makubwa yanayosababisha kulazimika kulima au kutifua udongo
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:06 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kutifua udongo ni jambo la muhimu sana ili kuufanya udongo kuwa bora.
Umuhimu wa kutifua udongo ni kama ifuatavyo 1. Hulainisha udongo ili kuruhusu mizizi ya mimea kupenya kwa urahisi. 2. Kutifua kunaboresha uwezekano wa kupenya kwa nitrogen na oxygen kutoka kwenye hewa.
Mambo muhimu ya kuzingatia kwenye ufugaji wa nyuki wa asali
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:07 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Unapohitaji unahitaji kufuga nyuki ni lazima uwe na uelewa wa mzunguko wa maisha ya nyuki. Unapoanza ni lazima uulize mtaalamu wa nyuki, wafugaji wenzako ambao wana uzoefu wa kutosha, au kujiunga katika kikundi cha ufugaji ili apate ufahamu zaidi juu ya ufugaji wa nyuki.
Jinsi ya kulima mahindi kitaalamu kama inavyotakiwa
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:12 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mahindi ni miongon mwa mazao makuu ya chakula hapa nchin Tanzania na ulimwa karibu kila mkoa. Ulimwa zaidi nyanda za juu kusini katika mikoa ya Mbeya, Iringa, Ruvuma, Njimbe na Katavi. Pia mikoa ya Morogoro Mwanza Dodoma Shinyanga Arusha Tanga na mikoa mingine. Kwakua ni zao la biashara hivyo karibu kila mkoa unalima zao hili.