Log in to access your menu with tools for managing π tasks, π₯ clients, π° finances, π learning, π personal growth, and π spirituality, all in one place!.
eBooks: Mbinu za Kilimo na Ufugaji Kukuongezea Mapato - Topic 2 - AckySHINE
Mambo 6 muhimu ya kuzingatia kupata udongo bora mzuri shambani
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:05 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Udongo ni kiungo muhimu sana katika uzalishaji wa mazao. Ni mfumo wa uhai kwa mimea. Kwa hiyo, mkulima ni lazima alenge katika kutunza uhai wa udongo na kuepuka usumbufu kwa uhai wa udongo.
Updated at: 2024-05-23 15:45:52 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Pilipili hoho ni zao la jamii ya pilipili isiyo kali, tunda lake ni nene kiasi la duara pia linaweza kuwa lililochongoka. Pilipili hoho hutumika katika kutengeneza rangi za asili za vyakula ambazo kwa sasa hupendwa zaidi kuliko zile zinazotokana na kemikali na pia huongeza ladha na harufu katika vyakula.
Mambo makubwa yanayosababisha kulazimika kulima au kutifua udongo
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:06 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kutifua udongo ni jambo la muhimu sana ili kuufanya udongo kuwa bora.
Umuhimu wa kutifua udongo ni kama ifuatavyo 1. Hulainisha udongo ili kuruhusu mizizi ya mimea kupenya kwa urahisi. 2. Kutifua kunaboresha uwezekano wa kupenya kwa nitrogen na oxygen kutoka kwenye hewa.
Updated at: 2024-05-23 15:46:02 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Safisha vyombo vya kulishia na kunyweshea kila siku. Osha, sugua vizuri, kisha suuza kuondoa utando unaobeba bakteria.
Kuku wanahitaji wapewe chakula cha kutosha na chenye virutubisho vyote. Unaweza kuwaongezea majani, makombo, nafaka, mchanga laini, au maganda ya mayai
Mambo 5 ya muhimu kuzingatia kuhusu mahali unapotaka kuweka mizinga ya nyuki
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-23 15:46:06 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukitaka kujua kuwa eneo unalotaka kuweka mizinga ya nyuki ni sahihi unatakiwa kuzingatia yafuatayo:
1. Haishauriwi kuweka mzinga shambani au karibu na shamba. Unatakiwa uweke umbali wa mita 150-200 kutoka kwenye mazao au nyumbani. Hii ni Kulingana na hali ya kujilinda ya nyuki wa Afrika