Log in to access your menu with tools for managing π tasks, π₯ clients, π° finances, π learning, π personal growth, and π spirituality, all in one place!.
Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:02:46 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, inabidi unisubiri mwembeni saa 1 usiku nitapita, mzee akafika saa 1 alikaa hadi saa 5 usiku, aliporudi nyumbani akamuuliza mkewe kwa hasira; sasa tumepanga nin halafu haujatokea ?
Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu
π β
Available in PDF
Updated at: 2023-04-29 22:53:54 (2 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambulisha 1. Naitwa Anna niko SUA mwaka3 nasoma agriculture 2. Naitwa Stella niko UDSM mwaka2 nasoma public relation
Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:06:39 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!,
Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=.
Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia?
Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui.
Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:04:44 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Angalia kilichotokea
Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "hii sura sio ngeni machoni mwangu sema jina tu silikumbuki..! !!