Log in to access your menu with tools for managing π tasks, π₯ clients, π° finances, π learning, π personal growth, and π spirituality, all in one place!.
Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:06:07 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Dogo: mama hivi malaika si wanapaa?
Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo?
Dogo: nimesikia baba jana anamuita dada (housegir) malaika wangu, kwa hiyo nae atapaa?
Updated at: 2024-05-25 18:03:43 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata na mazungumzo yakawa hivi:
SECRETARY: Boss leo umesahau kufunga geti nyumbani kwakoβ¦
Boss akabaki anashangaa⦠Baadae wakati anakwenda chooni kujisaidia ile anataka kufungua zipu akaikuta iko wazi ndio akajua alichokuwa ameambiwa na Secretary wake.
Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:01:48 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.
Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.
Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.
Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.
Updated at: 2023-04-29 22:53:26 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza kwa Kimombo:-
"β¦ Lord I pray for Grace, I pray for Mercy, I pray 4 Joy, I pray 4 Love, I pray 4 Hope, I pray 4 GLORY, I pray 4 Faith, I pray 4β¦."
Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake
π β
Available in PDF
Updated at: 2024-05-25 18:07:37 (2 years ago by SW - Melkisedeck Shine)
Mtoto alimwuuliza baba yake, Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha? Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana. Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini? Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.
Updated at: 2023-04-29 22:53:10 (3 years ago by Melkisedeck Leon Shine)
MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza. MHUDUMU: Nikusaidie nini? MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"