Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Edward Chepkoech (Guest) on July 11, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Guest (Guest) on March 4, 2026

Vunja mbavu za madenge

Ann Wambui (Guest) on July 7, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Chacha (Guest) on July 2, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Sarah Achieng (Guest) on July 1, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Peter Mwambui (Guest) on June 22, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Daudi (Guest) on May 21, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nora Lowassa (Guest) on May 9, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Arifa (Guest) on April 15, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Anna Mchome (Guest) on April 9, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on April 5, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mwafirika (Guest) on March 12, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

George Ndungu (Guest) on February 24, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Yahya (Guest) on January 14, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

George Ndungu (Guest) on December 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lucy Mushi (Guest) on November 16, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on November 5, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on October 31, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kahina (Guest) on October 21, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Margaret Mahiga (Guest) on October 7, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Charles Mboje (Guest) on September 25, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Shani (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Moses Kipkemboi (Guest) on August 22, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Josephine Nekesa (Guest) on June 6, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on June 3, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on May 23, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on May 16, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on March 21, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on March 14, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on March 12, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Arifa (Guest) on February 2, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Kamande (Guest) on January 19, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on December 21, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on December 5, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on December 5, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on November 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on October 24, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Ann Wambui (Guest) on October 2, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on September 26, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on September 2, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Paul Kamau (Guest) on August 15, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Grace Minja (Guest) on August 9, 2022

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on July 11, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Nora Lowassa (Guest) on July 3, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Anna Sumari (Guest) on June 26, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Rose Amukowa (Guest) on June 25, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Tambwe (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mtumwa (Guest) on June 12, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mjaka (Guest) on June 8, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Kiwanga (Guest) on June 2, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mary Sokoine (Guest) on May 30, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on May 26, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on April 22, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on March 21, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Stephen Kangethe (Guest) on March 10, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Husna (Guest) on February 25, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Esther Nyambura (Guest) on February 7, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nassar (Guest) on February 5, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Related Posts

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About