Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?

Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?

Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!

Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone

Mama akaenda na Bakari akaanza

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya

Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya

Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mary Kidata (Guest) on July 18, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Chiku (Guest) on May 2, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shamsa (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Ann Wambui (Guest) on April 24, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on April 14, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on April 9, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthui (Guest) on April 2, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Guest (Guest) on January 13, 2026

12

Ruth Kibona (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Irene Makena (Guest) on March 22, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Patrick Kidata (Guest) on March 16, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on February 15, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on February 14, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Stephen Kikwete (Guest) on February 12, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Sharifa (Guest) on January 27, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

John Mushi (Guest) on January 14, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on January 13, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

John Lissu (Guest) on January 11, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Maimuna (Guest) on December 24, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elizabeth Mtei (Guest) on December 23, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on December 10, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Zainab (Guest) on December 6, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Hellen Nduta (Guest) on October 31, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Edwin Ndambuki (Guest) on July 20, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Mushi (Guest) on July 10, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Zainab (Guest) on June 23, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Muslima (Guest) on June 21, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on June 19, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Henry Mollel (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Mwita (Guest) on June 12, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Edwin Ndambuki (Guest) on June 1, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on June 1, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khamis (Guest) on May 29, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sultan (Guest) on May 17, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

James Kimani (Guest) on May 16, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 21, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on March 10, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Michael Onyango (Guest) on February 23, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Anna Sumari (Guest) on February 3, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 21, 2023

🀣πŸ”₯😊

Jane Muthui (Guest) on January 18, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on January 3, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

John Lissu (Guest) on December 30, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Khamis (Guest) on November 25, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Sharon Kibiru (Guest) on November 21, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on November 18, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on October 23, 2022

Asante Ackyshine

Mwanais (Guest) on October 7, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Lissu (Guest) on September 22, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mgeni (Guest) on September 13, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Betty Akinyi (Guest) on August 26, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on July 29, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

James Kawawa (Guest) on July 15, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 1, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Lydia Wanyama (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Fadhili (Guest) on May 31, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 27, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on May 15, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Peter Otieno (Guest) on May 5, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Related Posts

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About