Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Featured Image
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali", Wakapiga magoti…: MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake. MUME: Emen… MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko. MUME: Emen… MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe. MUME: Kimya… MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana. MUME: …….!! MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali. MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe. Chezea mawaifu walokole wewe!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ndoto (Guest) on July 16, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on June 19, 2024

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Edward Chepkoech (Guest) on May 22, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on May 7, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Issa (Guest) on April 12, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Janet Sumaye (Guest) on March 15, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Kazija (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Paul Kamau (Guest) on March 5, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Robert Okello (Guest) on February 14, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on December 20, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on December 7, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Tabitha Okumu (Guest) on December 4, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Rahim (Guest) on November 4, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Kimotho (Guest) on October 16, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Masika (Guest) on September 30, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Susan Wangari (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on August 3, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on July 30, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Victor Mwalimu (Guest) on July 6, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on July 5, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Kangethe (Guest) on May 30, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on May 29, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Dorothy Nkya (Guest) on May 22, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Rabia (Guest) on May 14, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ruth Kibona (Guest) on May 12, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Janet Wambura (Guest) on April 26, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on April 25, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lucy Mushi (Guest) on April 23, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 17, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on April 1, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Joyce Nkya (Guest) on March 24, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on February 20, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 13, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Nora Lowassa (Guest) on January 23, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Violet Mumo (Guest) on January 18, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nora Kidata (Guest) on January 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Isaac Kiptoo (Guest) on December 7, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Jane Muthui (Guest) on October 25, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Rose Lowassa (Guest) on October 14, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Betty Akinyi (Guest) on September 26, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on September 11, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Grace Majaliwa (Guest) on August 18, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on August 15, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on August 14, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on August 2, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Abdullah (Guest) on July 23, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rahma (Guest) on July 20, 2022

Asante Ackyshine

Henry Mollel (Guest) on July 6, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joseph Kawawa (Guest) on June 22, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on May 18, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elizabeth Mrema (Guest) on May 9, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on April 8, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on March 28, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on December 3, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on November 23, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Michael Onyango (Guest) on November 15, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

πŸ“– Explore More Articles