Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Alex Nyamweya (Guest) on July 21, 2024

😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Guest (Guest) on March 4, 2026

Umefanya nini

Guest (Guest) on January 5, 2026

KIHESHIMU
1.kiheshimu kidogo ulichokipata kama njia yakwenda kwenye kikubwa huwezi kusonga ugar kabra hujapika mboga
2.kaheshimu hatakama wataona hakana samani kumbuka kaufunguo nikadogo sana
ira ukikapoteza kanaweza kufanya ukalala nje kwakitu kikubwa
3.haijalishi we nimdogo kwao ira cheo kitabaki pale pale fikilia nyumba ilivyo kubwa ira mlinziwake kufuri
4.kipend nakukithamin hatakama nikichafu mana utakapokuwa unazarau vichafu kunasiku utaipita dhahabu yenye matope
5.ishi kama mfungwa ujekuwa mfalme
6.kama yeye yuko juu bas alianzia chini ulipo wewe huwez kupanda ghorofa bira kuanzia chini
7.mjari naumpend aliechiniyako usitumie ulichonacho kama fimbo kwake naukasahau maisha kinyonga maisha kama siti yadaladala leo umekaa wewe kesho ameka huyu itakuwa mbaya kwako kama aliishi kwakisasi 8.mpende baba namama mana wao ndo wamefanya ukaitwa baba wao ndo wamefanya ukaitwa mama
by
msomaji pongezi zangu zathat ziende kwamuaandishi*_"_* namtunziwetu..ABU MAHEMBE

Guest (Guest) on February 15, 2026

Ucheshi

Master peace (User) on March 26, 2026

Duuh ni hatari

Guest (Guest) on February 2, 2026

Ahsanteee!

Guest (Guest) on March 4, 2026

Oy vp

Guest (Guest) on April 15, 2026

Pouw

Guest (Guest) on January 5, 2026

awa watoto waefumbili bwana sipati picha watoto wafutatu watakuwaje kipindiicho wanatamba watoto wafutatu watoto wafumbili makaburi yashaota hadi nyasi hehehe maisha aya ndo mana mi sifagili sana mamb yaujana we mwaka 3000 utakuwepo

Guest (Guest) on February 8, 2026

Mungu akipenda nitakuwep lakn kama asipo pend sitokuwep

Guest (Guest) on January 4, 2026

jamani awa madem wanatolewaga bikra nawakinanani
mbona kira mwanaume anasema hajawahi kupata dem bikra eeeh

Guest (Guest) on March 20, 2026

Wadada waseme niakina nani wao wanawajua!!

Guest (Guest) on January 2, 2026

abu mahembe 2026 mmenichokoza nimerud tena ety jamani katiyenu kunamtu anatumia kipajichangu kutimiza ndoto zake acheni ujinga unajua umu mi napost jf bure ila kunamchekeshaji nimemwona amenikopy live jamani kama we nimchekeshaj au mwigizaji umeishiwa swaga unataka vionjo vichekesho nitafute humu nikupe swaga 0681305278 utanichangia kidogotu

Guest (Guest) on January 4, 2026

MWAKA 2026
kauli mbiu yetu
no.kudindisha
nazima hisia
nawasha akili
nimeokoka
mimi namwamposa mwamposa namimi
by
ABU-MAHEMBE

Guest (Guest) on April 17, 2026

Bibilia

Guest (Guest) on January 2, 2026

mkulima harisi ndoanaujua uchungu wanamba saba7

Guest (Guest) on November 9, 2025

abu misemo
mama wakambo simama mana akikaa ndo utasema mama wakambo siurale

Guest (Guest) on November 9, 2025

ABU sido misemo
usiombe siku mpenziwako agombane nampenziwake

Guest (Guest) on April 10, 2026

Atar

Guest (Guest) on October 14, 2025

"mala paaa tunaenda "mbinguni alafu tunaambiwa " sadaka
"ulizokua unatoa
"duniani ndo
matumizi yako uku
mbinguni mh
haki yamungu kunawengine tutakua omba omba jamani tutoweni sadaka
abu apa 0681305278

Guest (Guest) on February 23, 2026

Hii naikubali

Guest (Guest) on March 5, 2026

Apo pw kk

Guest (Guest) on January 2, 2026

mvuvi haring akiwa njiani cjui mara ngoja nishuke nikakojoe

Guest (Guest) on October 7, 2025

"TANGAZO TANGAZO masika imefika "kwawalewote wanaotaka kupanda ndege lengi loizi loizi " "mabasi pg 0683015278 mbegu zake ninazo NIABU APA MTOTO WAMIKIDADI SAIDI BY

Guest (Guest) on October 17, 2025

OK

Guest (Guest) on October 7, 2025

kila lenyemwanzo halikosi mwisho hata mwisho nao unamwishowake

Guest (Guest) on October 8, 2025

kila lenyemwanzo halikosi mwisho hata mwisho pia unamwishowake hata boss pia anaboss wake hatami abu mikidadi naishi2 ila namwishowangu

Guest (Guest) on August 9, 2025

MISEMO

Guest (Guest) on April 5, 2026

ABU

Guest (Guest) on January 2, 2026

kumbuka kunakijana nakileo sasa mimi nikileo mnaojiita vijana mimi nishatokaga ukwo ubaki jana paka ln njoo leo

Guest (Guest) on November 9, 2025

ety jamani% kipi niujinga kati yahivi
%kumkimbia simba polini wakati ulikua unaenda kujinyonga

"kutoa mimba alafu unalala namdori

"kumpenda mtu alafu unaogopa kumambia

"kufuta namba yampenzi wako kwahasira wakati unayo kichwani

"kwenda dukani kununua sum unywe ujiuwe alafu unasubili chenchi

nipeni jibu 0681305278 ABU APA MAHEMBE NDOKWETU KGM TZ

Guest (Guest) on April 6, 2026

Ajiuwi uyo kama kwel atanataka kufa ela ya nn tena kwake

Guest (Guest) on November 9, 2025

ety jamani% kipi niujinga kati yahivi
%kumkimbia simba polini wakati ulikua unaenda kujinyonga

"kutoa mimba alafu unalala namdori

"kumpenda mtu alafu unaogopa kumambia

"kufuta namba yampenzi wako kwahasira wakati unayo kichwani

"kwenda dukani kununua sum unywe ujiuwe alafu unasubili chenchi

nipeni jibu 0681305278 ABU APA MAHEMBE NDOKWETU KGM TZ

Guest (Guest) on November 9, 2025

ety jamani% kipi niujinga kati yahivi
%kumkimbia simba polini wakati ulikua unaenda kujinyonga

"kutoa mimba alafu unalala namdori

"kumpenda mtu alafu unaogopa kumambia

"kufuta namba yampenzi wako kwahasira wakati unayo kichwani

"kwenda dukani kununua sum unywe ujiuwe alafu unasubili chenchi

nipeni jibu 0681305278 ABU APA MAHEMBE NDOKWETU KGM TZ

Guest (Guest) on October 8, 2025

acha kazi uwone kazi inavokua kazi kupata kazi


ABU AP 0681305278

Guest (Guest) on October 7, 2025

ukiona maisha nimagum pambana nahaliyako wekausha2 hatagali lazima moto kunamda huwa linaungua (ABU)(mikidadi)apa

Guest (Guest) on October 7, 2025

ukiona maisha nimagum pambana nahaliyako wekausha2 hatagali lazima moto kunamda huwa linaungua

Guest (Guest) on August 20, 2025

Dah: mnachekesha kweli ety

Guest (Guest) on February 9, 2026

hatar kwel

Guest (Guest) on November 9, 2025

ABU MAHEMBE KGM TZ SIDO SAMIRU SIDO KGM TZ MISEMO ITAKAYO KUACHA HOI NAKICHEKO
.
"%mtoto kaambiwa %nababayake hongera mwanangu umemariza chuo kikuu chagua zawadi yoyote uwipendayo dg akajibu "naomba hela nikamuowe bibi mana kila siku ananita mmewake " baba akajibu mshenzi mkubwa wewe %huwezi kumuowa yule nimamayangu mzazi %dg akajibu mbona wewe umemuowa mamayangu mzazi sijasema kitu kumbe inaumaee kama nivo nenda kwamayako namimi nibaki namamayangu kilamtu abaki namayake ungekuwa niwewe ungemjibu nini huyu dg hahahahahahahahaha

Guest (Guest) on December 30, 2025

Hahaha

Guest (Guest) on October 8, 2025

ya ni abu apa kutoka sido nilikua naomb mniunge namimi niwe natupia misemo watu walike

Guest (Guest) on November 9, 2025

ABU MAHEMBE KGM TZ
HIi NIKWA MABEST Frend wote
H£LO B£ST Frend
WAMBI£ SISI NIMABEST FRENDI
WATASEMA SANA SISI BADOTUPO T£NA TUPOSANA HAWAJUI KAMA MANENO YAO NDO TAMBIKORA YANAZIDI KUKOR£ZA URAFIKIWE TENA WAKAZANE

Guest (Guest) on August 15, 2025

Balaaaa

Wande (Guest) on July 21, 2024

😆 Hiyo punchline ilikuwa kali!

Guest (Guest) on October 11, 2025

"ofa ofa
"kwanzia kesho "nakuendea selekar
"imeluhusu wavuta bangi wote mvutie bangi hazala vituo vya polic kambi zajexhi maeneo yaikulu kote ukwo bangi inukie kama pilau

hahahahaha kitakacho wakuta zawad milini 5
abu

Guest (Guest) on October 8, 2025

"sikumoja PADR na sister "waliwa "wakifanya "mapenzi chini yamti "kumbe juu " yaule mtii palikua "na mvuta bangi "walipomaliza "sister akauliza ulitumia kinga "PADR hapana " sistel sasa itakuaje nikipata mimba "PADRI akajibu "yote tumuachie aliejuu "yule mvuta bang akajua niyeye akajibu kwasaut pumbavu yani mapenzi mfanye nyie mimba mniachie mimi PADRI na sister inamana yote tuliyofanya apa umena aaaaaaaaa? hahahahaha STOR imetoka kwangu abu wamiki apa by

Guest (Guest) on September 22, 2025

Hahahaha mnanikumbuxha enzi zang

Guest (Guest) on August 20, 2025

Zote kali

Guest (Guest) on October 8, 2025

"unasema beby wako "anakupenda sasa fanya "ivi chukua gunia la hela "nawewe mkae apo "alafu umwambie beby "chagu kitu ukipendacho "kati yaiili gunia lahela namimi alafu "tuone ABU APA niulize mimi nambayangu iyapa0681305278

Guest (Guest) on February 9, 2026

hahahaha sio poa 0681638257

Guest (Guest) on December 2, 2025

DUAKA

John Mwangi (Guest) on July 7, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Guest (Guest) on October 8, 2025

niungen

Fredrick Mutiso (Guest) on July 5, 2024

🤣 Sikutarajia hiyo!

David Sokoine (Guest) on June 14, 2024

😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mary Njeri (Guest) on June 7, 2024

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Related Posts

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;- kwa nini umechelewa kazini
Juma;- kuna mtu njiani alidondo... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

📢WAZO LA JIONI HII 📢

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

📖 Explore More Articles
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About