Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Featured Image

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
lazima awe na picha passport size 4 kwaajili ya kuweka profile picture, barua kutoka kwa afisa mtendaji na Atm card ya nmb bank. Alafu awe na marefa wanne ambao wamekuwa facebook for more than 3 years. Amesema
hataki tena kujiunga fb!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Saa ivi niko zangu nimelala naendelea kupunguza uchovu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Nyerere (Guest) on July 6, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Elizabeth Mtei (Guest) on May 29, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Josephine Nduta (Guest) on May 26, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 17, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on May 14, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 2, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Nora Kidata (Guest) on April 2, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Andrew Odhiambo (Guest) on March 20, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mhina (Guest) on March 14, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Charles Mchome (Guest) on February 6, 2024

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hekima (Guest) on February 2, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Josephine Nekesa (Guest) on December 26, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on November 28, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 8, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Philip Nyaga (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on October 2, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ruth Kibona (Guest) on September 20, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Tabitha Okumu (Guest) on September 6, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwajabu (Guest) on August 6, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Charles Mboje (Guest) on August 1, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Sultan (Guest) on July 9, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mashaka (Guest) on June 10, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Francis Mtangi (Guest) on May 31, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on March 11, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on February 26, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on February 8, 2023

😊🀣πŸ”₯

Peter Mugendi (Guest) on January 18, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Henry Mollel (Guest) on January 6, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Fadhili (Guest) on December 15, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mariam Kawawa (Guest) on November 13, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on November 7, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 28, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

David Kawawa (Guest) on September 15, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Maneno (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Janet Wambura (Guest) on August 30, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Neema (Guest) on August 29, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Lucy Mahiga (Guest) on August 17, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hashim (Guest) on July 27, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Salma (Guest) on June 27, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Rose Amukowa (Guest) on June 26, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on June 16, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on June 12, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on June 5, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on April 29, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on March 26, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on March 21, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Zuhura (Guest) on February 19, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Anthony Kariuki (Guest) on February 9, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Sarah Achieng (Guest) on February 6, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Samson Mahiga (Guest) on January 25, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Rose Mwinuka (Guest) on January 10, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Faiza (Guest) on December 5, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Charles Mboje (Guest) on November 12, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Kazija (Guest) on November 3, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Janet Mbithe (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Agnes Lowassa (Guest) on October 5, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on September 21, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on September 21, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samuel Were (Guest) on September 1, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on August 21, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About