Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Featured Image

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini kamkuta mkewe amevaa kanga imeandikwaΒ ukisusa wenzio walaΒ ilipofika asubuhi mke akavaa kanga imeandikwaΒ ukitoka 🚢🚢mwenzio anaingiaπŸ’ƒπŸ’ƒ

jamaa akagoma kwenda kazini 😬😬 mke akabadili kanga na kuvaa iloandikwaΒ nimemdhibiti ndo mana hatoki🚷 jamaa akaenda kuomba ushauri kwa rafiki yake akaambiwa twende nyumbsni kwako, walipofika walimkuta mke kavaa kanga imeandikwaΒ ulidhani rafiki yako kumbe adui yakoπŸ€”πŸ€” jamaa akaamua kusafiri siku tano ili kupunguza hasira. Aliporudi akamkuta mke amevaa kanga imeandikwaΒ ni bora nimpe jirani kuliko kiozee ndani
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

hata kama hupendagi ujinga kwa maneno ya kwenye kanga utasanda tu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ramadhan (Guest) on July 7, 2024

😁 Kicheko bora ya siku!

Edith Cherotich (Guest) on May 22, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on April 12, 2024

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on April 4, 2024

😁 Hii ni dhahabu!

Athumani (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mwanakhamis (Guest) on January 27, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 25, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on January 3, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Charles Mchome (Guest) on December 22, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on December 19, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Azima (Guest) on November 17, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mumbua (Guest) on November 8, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Robert Okello (Guest) on November 8, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on September 16, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

John Lissu (Guest) on September 7, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Frank Sokoine (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Wambura (Guest) on July 31, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Joy Wacera (Guest) on July 23, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on July 20, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on July 17, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Muslima (Guest) on July 13, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nancy Akumu (Guest) on June 16, 2023

🀣πŸ”₯😊

Janet Sumaye (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Khadija (Guest) on June 5, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mercy Atieno (Guest) on May 25, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nancy Akumu (Guest) on May 11, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mariam Hassan (Guest) on May 2, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Mduma (Guest) on March 24, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Baraka (Guest) on March 16, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on March 9, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Ali (Guest) on March 6, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Jane Malecela (Guest) on March 3, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

James Mduma (Guest) on March 2, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mashaka (Guest) on February 5, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Joseph Kawawa (Guest) on January 22, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Sumaye (Guest) on January 5, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mohamed (Guest) on December 21, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Lissu (Guest) on December 5, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mariam Kawawa (Guest) on November 29, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on October 28, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Sokoine (Guest) on October 26, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on October 16, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

John Lissu (Guest) on September 28, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on September 19, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Jane Muthui (Guest) on September 15, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Francis Njeru (Guest) on September 8, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Anna Kibwana (Guest) on September 8, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on September 4, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mercy Atieno (Guest) on August 31, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on August 27, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on June 29, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Lydia Mahiga (Guest) on June 23, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ruth Kibona (Guest) on June 21, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Andrew Mchome (Guest) on May 3, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Kheri (Guest) on April 23, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 21, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on April 17, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on March 28, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Maulid (Guest) on March 17, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Related Posts

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

πŸ“– Explore More Articles