Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Featured Image

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwisharudi,jamaa alikasirika sana.

Siku ya 2
akamchukua na kwenda naye zaid ya kilometa 50
akapiga chochoro za kutosha kisha
akamtupa,akaanza safar ya kurud nyumban
baada ya muda akampigia cm mkewe.Vp mke
wangu huyo paka yupo? MKE:Ndio mume wangu
tena ametulia hapa kwan imekuaje? JAMAA:hebu
mpe cm anielekeze njia ya kurud nimepotea😳

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Tabu (Guest) on July 21, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Alex Nakitare (Guest) on July 15, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on June 15, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on May 28, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Cosmas (Guest) on May 21, 2024

kwa kweli hii ni kaliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on April 21, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on March 8, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 2, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nora Kidata (Guest) on February 23, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Zuhura (Guest) on February 20, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on January 15, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Peter Tibaijuka (Guest) on December 30, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwajabu (Guest) on December 15, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Shani (Guest) on December 4, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Zuhura (Guest) on November 28, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lucy Mahiga (Guest) on November 12, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Nassar (Guest) on October 27, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joyce Nkya (Guest) on October 21, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on October 6, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Edith Cherotich (Guest) on September 22, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Anna Sumari (Guest) on September 20, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nancy Akumu (Guest) on September 3, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Baraka (Guest) on August 28, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Ruth Kibona (Guest) on August 18, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rehema (Guest) on July 24, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mariam Hassan (Guest) on June 13, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on June 6, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on May 24, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Sharon Kibiru (Guest) on April 11, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Rose Waithera (Guest) on April 4, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Khadija (Guest) on March 12, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Dorothy Nkya (Guest) on January 31, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Halima (Guest) on January 26, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Rabia (Guest) on December 25, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Isaac Kiptoo (Guest) on December 20, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on December 11, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Faith Kariuki (Guest) on November 21, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumaye (Guest) on November 17, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Edward Chepkoech (Guest) on November 5, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on October 21, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on October 14, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

George Wanjala (Guest) on September 28, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on September 27, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on September 5, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on September 1, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Yusuf (Guest) on August 13, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Martin Otieno (Guest) on July 26, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kitine (Guest) on July 15, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on July 11, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarafina (Guest) on June 10, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Nuru (Guest) on May 5, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Michael Onyango (Guest) on April 24, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on March 8, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on March 4, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Issa (Guest) on February 21, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Isaac Kiptoo (Guest) on January 17, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on December 29, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on December 2, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Related Posts

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.