Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Featured Image

Binti:Β Hallow mpenzi, Mambo

Jamaa:Β Poa baby

Binti:Uko wapi?

Jamaa: Niko town napata lunch

Binti:Β Wow unarudi saa ngap? Nina njaa dear naomba uniletee msosi

Jamaa:Β Narudi baada ya nusu saa nikuletee nini?

Binti:Β Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne ya kukaangwa pembeni, baga, piza, coke take away baridi, mkate wa moto kwenye ile bekari ya wapemba na maji ya kunywa ya kiimanjaro.

Jamaa:Umesahau viti, meza, masufuria, sahani na beseni na vijiko.

Binti:Β Kwanini dear?

Jamaa:Β Naona hutaki kula unataka kufungua hoteli!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Zubeida (Guest) on July 4, 2024

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Henry Sokoine (Guest) on July 1, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

George Tenga (Guest) on June 20, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on June 19, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on June 4, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on May 18, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Rukia (Guest) on April 6, 2024

🀣 Hii imewaka moto!

Benjamin Masanja (Guest) on March 19, 2024

🀣πŸ”₯😊

Fredrick Mutiso (Guest) on February 22, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Rose Waithera (Guest) on January 12, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on December 31, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Mzee (Guest) on December 3, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Fadhila (Guest) on November 29, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joseph Kitine (Guest) on November 23, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Faiza (Guest) on November 17, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on November 6, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on October 22, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on October 17, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mboje (Guest) on September 27, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Rose Mwinuka (Guest) on September 8, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on August 31, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on August 22, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

David Nyerere (Guest) on August 13, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Susan Wangari (Guest) on August 5, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on July 20, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Samuel Were (Guest) on July 20, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Sarafina (Guest) on July 18, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alice Jebet (Guest) on June 28, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on June 2, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on May 24, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Jamila (Guest) on May 16, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Josephine Nduta (Guest) on May 5, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Esther Cheruiyot (Guest) on April 25, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jane Muthoni (Guest) on April 16, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on March 1, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Malima (Guest) on February 18, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Simon Kiprono (Guest) on February 18, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Kheri (Guest) on February 11, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Farida (Guest) on January 1, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on December 31, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Mallya (Guest) on December 20, 2022

😊🀣πŸ”₯

John Lissu (Guest) on November 2, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on November 1, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Edward Lowassa (Guest) on October 25, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on September 20, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mgeni (Guest) on September 1, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Samuel Omondi (Guest) on July 9, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 8, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Ruth Mtangi (Guest) on July 1, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on June 6, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Sharon Kibiru (Guest) on June 3, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on May 18, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

David Sokoine (Guest) on May 12, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anna Sumari (Guest) on May 1, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Charles Mchome (Guest) on April 25, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Susan Wangari (Guest) on April 11, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Related Posts

Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
πŸ“– Explore More Articles