Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Featured Image

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini unasema hivyo?

Mtoto: Nina akili…

Basi mwalimu akamueleza mkuu wa shule na mkuu kaitisha interview kwa dogo. Maswali ni haya….

Mwalimu: Kwenye ndege kuna matofali 20 tukitoa moja tukalidondosha chini yatabaki mangapi?

Dogo: Yatabaki 19.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka tembo kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamuweka tembo kisha unafunga.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka nyani kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamtoa tembo ulemuweka..unamueka nyani kisha unafunga friji.

Mwalimu: Kuna sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa simba, wanyama wote wameenda kasoro mmoja. Ni nani na kwa nini?

Dogo: Ni nyani kwa sababu tumemuweka kwenye friji.

Mwalimu: Bibi kizee amevuka mto unaokuwaga na mamba na viboko wakali, aliwezaje?

Dogo: Aliweza kwani mamba na viboko nao walienda kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa simba.

Mwalimu: Ingawa bibi kizee alivuka mto, baadae alikufa. Unadhani ni kwanini alikufa?

Dogo: Alidondokewa na lile tofali tulotoa kwenye ndege na kutupa chini.

Mwalimu mkuu: Huyu dogo akasome chuo kikuu….
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Sharon Kibiru (Guest) on July 15, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

George Ndungu (Guest) on June 20, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Sarah Mbise (Guest) on June 19, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 1, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Halima (Guest) on May 26, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Jane Muthoni (Guest) on May 24, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Mwambui (Guest) on May 22, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on May 17, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on May 4, 2024

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on May 2, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on April 2, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on March 27, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Violet Mumo (Guest) on February 19, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Kiza (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Issa (Guest) on February 8, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Betty Cheruiyot (Guest) on January 5, 2024

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Guest (Guest) on January 16, 2026

NDIO MNAJUA SANA 2

Mzee (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Alice Wanjiru (Guest) on December 20, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Maida (Guest) on November 16, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Jaffar (Guest) on October 15, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Raha (Guest) on September 28, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Faith Kariuki (Guest) on September 27, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on September 21, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

David Sokoine (Guest) on September 10, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jamal (Guest) on September 10, 2023

Asante Ackyshine

Mwanaidi (Guest) on August 28, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joy Wacera (Guest) on July 17, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on July 15, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Farida (Guest) on June 27, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on June 23, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on June 9, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jane Malecela (Guest) on May 5, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Kibwana (Guest) on April 8, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

John Lissu (Guest) on March 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Joy Wacera (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Patrick Kidata (Guest) on March 16, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on March 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Elijah Mutua (Guest) on February 8, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on February 6, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Benjamin Masanja (Guest) on January 28, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on January 28, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on January 19, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 27, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on December 20, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Janet Sumari (Guest) on December 11, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Benjamin Kibicho (Guest) on November 29, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on October 4, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Grace Mushi (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Margaret Mahiga (Guest) on September 1, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on August 15, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Neema (Guest) on August 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Robert Ndunguru (Guest) on July 31, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joseph Njoroge (Guest) on July 18, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Vincent Mwangangi (Guest) on July 6, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mwanakhamis (Guest) on July 3, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Related Posts

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More