Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Featured Image

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufu
ya kwenye daladala.

1.Yatima hadeki
2.Utamu wa chips mimba
3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni
4. Usiyempenda kaja
5. Kobe hapimwi joto
6. Acha kazi uone kaz kupata kaz
7. Ukichezea koki utalowa
8. Heshima pesa kipara kovu tu!
9. Mtumbwi hauna saitmira.
9. Silaha pesa bastola mzigo
10. Hata uoge mjini huendi
11. Chezea mshahara usichezee kazi.
12. Ukiona manyoya ujue kishaliwa
13. Ikisimama Panda
14. Pombe pombe tuu kunywea bar mbwebwe
15. Njia ya chooni haioti nyasi
16. Likizo ya maskini ugonjwa
17. When i grow up i want to be a scania
18. Hata bibi alikuwa binti
19. Kisigino hakikai mbele
20. Kama mapenz pesa kaolewe na benki
21. Hata barabara ina matuta lakin huwez panda viazi
22. Mavi hayana miba lakin ukikanyaga lazma uchechemee
23. Paka haishi kwa msela
24. Ukipendwa ujue kuna boya kaachwa
25. NIPO NIPO KWANZA
26. Mchana nzi ucku mbu
27. Ucmshangae funza kukata viuno ndio mwendo wake
28. Kama umelipenda(gari) bonyeza nyota liwe lako
29. Supermarket hawauzi mkaa
30. We nisubiri mi nakungoja.
31. Zetu dagaa kuku tamaa
32. Hata uwe na heshima vipi huwezi kumpokea askari bunduki
H
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜πŸ˜πŸ˜

Share na wenzako kuongeza siku za kuishi

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Philip Nyaga (Guest) on July 8, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Guest (Guest) on September 12, 2025

Ukipenda mwanafunzi mshoee mkeo nguo za shule

Diana Mallya (Guest) on April 26, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Anthony Kariuki (Guest) on April 3, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Guest (Guest) on July 29, 2025

Noma sanaa

Edwin Ndambuki (Guest) on March 13, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on February 16, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on February 16, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Benjamin Masanja (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Betty Cheruiyot (Guest) on January 17, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanaisha (Guest) on January 15, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on December 25, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Edward Lowassa (Guest) on November 4, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

John Mwangi (Guest) on October 15, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Njoroge (Guest) on October 6, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Guest (Guest) on July 11, 2025

NAWEW PIA

Margaret Mahiga (Guest) on October 5, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on August 20, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Nancy Kabura (Guest) on July 9, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Irene Akoth (Guest) on June 12, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on June 5, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on June 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on April 12, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mwanahawa (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mjaka (Guest) on April 2, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Shamsa (Guest) on February 17, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Nancy Kawawa (Guest) on February 13, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Khatib (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Richard Mulwa (Guest) on January 22, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Arifa (Guest) on January 12, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Monica Lissu (Guest) on December 16, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Nyalandu (Guest) on December 1, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on October 31, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Robert Ndunguru (Guest) on October 22, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Betty Kimaro (Guest) on October 20, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Robert Ndunguru (Guest) on October 11, 2022

Asante Ackyshine

Sharon Kibiru (Guest) on October 4, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on September 29, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on September 27, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Grace Mushi (Guest) on September 26, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Maimuna (Guest) on September 11, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Edward Lowassa (Guest) on September 1, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on August 9, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on July 25, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Guest (Guest) on July 29, 2025

Mim Disa gang na sema iv noma sanaa .

Nassor (Guest) on July 22, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

David Ochieng (Guest) on July 19, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Sharon Kibiru (Guest) on June 17, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on June 3, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Nasra (Guest) on April 3, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lydia Wanyama (Guest) on March 8, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Waithera (Guest) on February 20, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Jackson Makori (Guest) on February 13, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Malisa (Guest) on February 2, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on January 19, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on December 29, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on December 4, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on November 30, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Esther Cheruiyot (Guest) on November 30, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Related Posts

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More