Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Featured Image

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana Wave
kichwani.
-Kama bosi atakuwa na kampuni basi ni lazima
itakuwa ya Clearing and Forwading au ya uuzaji
Magari.
-Lazima waende Kununua nguo.
-Jambazi lazima avae koti lefu jeusi na Miwani.
-Mtu akichapwa kofi huangukia kwenye kochi
ama kitandani.
-Actress huwa hawapiki hata chai.
-Kwa mdada akiishi maisha ya kitajiri lazima
avae nguo inayoishia mapajani.
-Actress even after 5 yeas utakuta staili ya
nywele na rangi za kucha ni zile zile.
-Anaweka Sumu alafu anaonja kama imekolea.
-Movie zote wapenzi huitana Baby..
-Main actor wote ni wafanya biashara na lazima
wataongelea mizigo kutoka bandarini.
-Wakinywa Soda basi lazima wabakishe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Monica Nyalandu (Guest) on July 15, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Guest (Guest) on July 17, 2025

Poa

Sultan (Guest) on July 13, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

David Musyoka (Guest) on July 5, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on June 30, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on June 13, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on June 2, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Joy Wacera (Guest) on May 28, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on May 1, 2024

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Grace Mushi (Guest) on April 29, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on March 24, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on March 21, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on March 20, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Wande (Guest) on March 18, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Faith Kariuki (Guest) on March 9, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on March 7, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on March 6, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Anna Kibwana (Guest) on March 3, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on March 2, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Kamande (Guest) on February 18, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Paul Kamau (Guest) on February 1, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on January 4, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on January 4, 2024

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on December 17, 2023

🀣πŸ”₯😊

David Sokoine (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hellen Nduta (Guest) on December 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on December 10, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on November 21, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on November 7, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on October 27, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on October 6, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on October 2, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on September 30, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on September 28, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on September 5, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on September 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on August 13, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on August 6, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Andrew Odhiambo (Guest) on August 5, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on July 11, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mercy Atieno (Guest) on June 30, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

John Lissu (Guest) on June 23, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Elizabeth Malima (Guest) on June 13, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on June 2, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Leila (Guest) on April 29, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Salima (Guest) on April 28, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

John Mushi (Guest) on April 13, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on April 6, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on April 4, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Simon Kiprono (Guest) on April 3, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 28, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on March 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on March 18, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on March 14, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Henry Sokoine (Guest) on February 19, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on February 13, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on February 4, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on January 27, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Related Posts

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More