Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Featured Image

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ˜€
Mimi ni msomaji mzuri wa magazeti, na msikilizaji mzuri wa redio, huwa naangalia luninga mara chache sana kama nikibahatika kupita mahala kuna luninga. Sasa wiki hii nimesikia mengi kuhusu hizi ziara za kushtukiza za viongozi wetu, nikaona hili ni jambo zuri tena linafaa kuigwa na sisi wananchi wapenda maendeleo. Nikaona nijipange na mimi nifanye ziara kadhaa za kushtukiza katika sehemu mbalimbali zinazonihusu.

Nikaona nianze na ziara ya kushtukiza pale shuleni kwa huyu mwanangu, maana kila siku anakunywa chai na kuondoka na daftari zake na mie sijawahi kwenda shuleni kwao toka nilipomuandikisha shule mwezi Januari. Nilifika shuleni na kumuona mwalimu mkuu, ambae alianza kutetemeka nilipomuambia kuwa nimekuja pale kwa ziara ya kustukiza, sijui alidhani mi ni mmoja wa Mawaziri wapya, maana nilimuona jasho linamtiririka ghafla. Akanikaribisha ofisi yake iliyokuwa na vitabu kila kona, na kuita waalimu wote na kunitambulisha kuwa ni kiongozi nimekuja kwenye ziara ya kustukiza.

Nilipojitambulisha kuwa ni mzazi, waalimu wote nikawaona waanza kupumua kwa raha. Nikawaambia kuwa mimi nina mwanafunzi pale na nilikuja ziara ya kustukiza kujua maendeleo yake. Baada ya mwalimu mkuu kusaka jina la mwanangu nae akanambia, β€œMzee huyu mtoto hajaja shule mwezi wa tatu sasa, tulijaribu kukutafuta ikashindikana, hatujui yu wapi” Jasho likaanza kunitoka mimi, yule mtoto kila asubuhi nampa nauli anaenda shule, na mara nyingi ananiomba michango kumbe hata shule haji. Niliondoka bila kuaga presha ikiwa juu.

Nikaona niende kwenye genge la mke wangu nae nikamfanyie ziara ya ghafla nimhadithie mambo ya mwanae, nilipofika pale nikakuta kuna mdada mwingine anauza genge. Nikamsalimu, na kumuuliza mwenye genge ntampataje, jibu lake lingeniua kama ningekuwa si mkakamavu, β€œMume wake kaja kumchukua na gari wameenda kununua shamba Bagamoyo”. Nikaondoka nimechanganyikiwa, nikajuwa hapa dawa yangu moja tu, nayo ni Sabrina, mtoto wa Kinyaturu pale ambapo nikipata maudhi huwa naenda kubembelezwa.

Nikatwanga mguu kwa Sabrina nae nikamfanyie ziara ya ghafla ili anipoze moyo. Nilipogonga mlango wa chumba chake akatoka mbaba wa miraba minne, akanisalimia kwa upole, β€œSalama kaka unasemaje?” Jibu likanitoka β€œSamahani mie nilimkopesha huyu dada wa chumba hiki vitenge, nilikuja kuuliza kama ameshapata hela yangu” Ziara za kushtukiza zinataka moyo wa chuma jamani

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Mushi (Guest) on June 4, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jamila (Guest) on June 3, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Kiza (Guest) on May 25, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on May 14, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on May 10, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Esther Nyambura (Guest) on May 1, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Nyota (Guest) on April 26, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Rose Kiwanga (Guest) on April 19, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Salima (Guest) on April 12, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Khatib (Guest) on April 3, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Chris Okello (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Victor Kamau (Guest) on March 10, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Zakaria (Guest) on March 3, 2024

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Faith Kariuki (Guest) on January 15, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on December 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Amukowa (Guest) on December 26, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Victor Kimario (Guest) on December 20, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on December 20, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on December 2, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Mary Sokoine (Guest) on November 7, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Ann Awino (Guest) on October 17, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Faiza (Guest) on August 20, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on July 9, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Jane Muthoni (Guest) on July 4, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

David Sokoine (Guest) on June 28, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 22, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Samson Tibaijuka (Guest) on June 21, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mushi (Guest) on June 21, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nancy Komba (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on June 3, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Maneno (Guest) on June 3, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Henry Sokoine (Guest) on April 16, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on March 20, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on February 19, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Edith Cherotich (Guest) on February 17, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on February 10, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Jane Muthoni (Guest) on February 7, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Khatib (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Amukowa (Guest) on December 28, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on December 28, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mrope (Guest) on December 24, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Zawadi (Guest) on December 22, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Sultan (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on December 17, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on November 26, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Alex Nakitare (Guest) on November 14, 2022

🀣πŸ”₯😊

Josephine Nekesa (Guest) on November 4, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on September 30, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mariam (Guest) on August 7, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on July 14, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lucy Wangui (Guest) on June 18, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on June 17, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Mohamed (Guest) on May 28, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Rose Lowassa (Guest) on May 2, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on April 18, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Malima (Guest) on April 12, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on April 9, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

John Mushi (Guest) on March 27, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Ochieng (Guest) on March 22, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
πŸ“– Explore More Articles