Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ruth Kibona (Guest) on July 22, 2024

😂 Nimeipenda kabisa hii!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 16, 2024

😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Stephen Kikwete (Guest) on June 8, 2024

😄😅👏😂

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 18, 2024

Hii ni kali sana! 😂🤣

Charles Wafula (Guest) on April 12, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂

Sarah Karani (Guest) on March 31, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣

Elizabeth Mrema (Guest) on March 19, 2024

😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Janet Wambura (Guest) on March 2, 2024

😅 Nilihitaji kicheko hicho!

Nancy Kabura (Guest) on February 19, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! 😆😂

Nora Lowassa (Guest) on February 14, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂

John Mushi (Guest) on February 9, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! 👏😂

Grace Majaliwa (Guest) on February 4, 2024

😂🤣😆

Patrick Akech (Guest) on December 28, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏🤣

Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! 😊😂

Peter Otieno (Guest) on November 26, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Mercy Atieno (Guest) on November 12, 2023

🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ramadhan (Guest) on October 28, 2023

😆 Hii imenigonga kweli!

Samuel Omondi (Guest) on October 23, 2023

😆 Hiyo punchline!

Tabu (Guest) on October 16, 2023

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Chiku (Guest) on September 19, 2023

😂 Hii ni ya kuhifadhi!

Fadhili (Guest) on September 4, 2023

😅 Bado nacheka!

Stephen Mushi (Guest) on August 6, 2023

Hii imenibamba sana! 😂😅

Robert Okello (Guest) on July 24, 2023

😄 Umeimaliza kabisa!

Joyce Aoko (Guest) on June 20, 2023

Nimefurahia sana hii! 😅😊

Andrew Mahiga (Guest) on May 25, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🤣😊

Joseph Kiwanga (Guest) on May 10, 2023

😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mashaka (Guest) on April 30, 2023

😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Henry Mollel (Guest) on April 24, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆

Zubeida (Guest) on April 19, 2023

🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!

George Mallya (Guest) on April 7, 2023

😂 Nacheka hadi nalia!

Charles Mboje (Guest) on April 6, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Mwikali (Guest) on February 22, 2023

😂😆

Aziza (Guest) on February 22, 2023

😂 Nitaiiba hii bila shaka!

Elizabeth Mrope (Guest) on February 14, 2023

Huyu alikuwa na point! 😂👌

Chris Okello (Guest) on February 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! 😂🤣

James Malima (Guest) on January 23, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏😂

Monica Lissu (Guest) on January 6, 2023

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Jaffar (Guest) on December 26, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jacob Kiplangat (Guest) on November 29, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🤣🤣

Omari (Guest) on November 27, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! 😄

Grace Wairimu (Guest) on November 21, 2022

😅 Bado ninacheka!

John Kamande (Guest) on November 11, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! 😆😂

Monica Nyalandu (Guest) on October 29, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Samuel Were (Guest) on October 26, 2022

😆👏😂😄

Isaac Kiptoo (Guest) on October 23, 2022

😄 Umeshinda mtandao leo!

Lucy Mushi (Guest) on October 19, 2022

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Isaac Kiptoo (Guest) on September 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🤣😊

Ruth Mtangi (Guest) on September 6, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! 😊😄

Shani (Guest) on August 31, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! 💰

Alex Nakitare (Guest) on August 29, 2022

😅 Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Sokoine (Guest) on August 18, 2022

😂🤣😂😅

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 9, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! 😆👏

Shamsa (Guest) on August 2, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Susan Wangari (Guest) on August 1, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂

Carol Nyakio (Guest) on July 31, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! 😆👍

Habiba (Guest) on July 31, 2022

😄 Kali sana!

Betty Kimaro (Guest) on July 26, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! 😊😂

Kenneth Murithi (Guest) on July 2, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! 😊😆

Nyota (Guest) on June 30, 2022

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Mgeni (Guest) on June 26, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! 😅

Related Posts

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandika MBWA​MKALI kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*👉Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More