Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE šŸ”
☰
AckyShine

Nifunge nini Kwaresma? Mambo ya kufunga kipindi cha Kwaresima

Featured Image
NIFUNGE NINI?
FungaĀ huzuniĀ upateĀ furaha,
FungaĀ ulabuĀ upateĀ siha,
FungaĀ majivunoĀ upataĀ utukufu,
FungaĀ uzinziĀ upateĀ wongofu,
FungaĀ kisiraniĀ upateĀ utakatifu,
FungaĀ umbeaĀ upateĀ fanaka,
FungaĀ wivuĀ upataĀ baraka,
FungaĀ unafikiĀ upateĀ uchaji,
FungaĀ kinyongoĀ upateĀ faraja,
FungaĀ kwaresimaĀ wakati ni huu
FungaĀ kiburiĀ ujazweĀ hekima,
FungaĀ jeuriĀ ujaweĀ rehema,
FungaĀ hofuĀ ujazweĀ imani,
FungaĀ kinywaniĀ ujazweĀ moyoni,
FungaĀ kisiraniĀ ujazweĀ rohoni,
FungaĀ dharauĀ ujazweĀ heshima,
FungaĀ majungu,Ā ujazweĀ neema,
FungaĀ usiriĀ ujaweĀ wafuasi,
FungaĀ tamaaĀ ujazweĀ kiasi,
FungaĀ kwaresima wakati ni huu.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

James Malima (Guest) on July 4, 2024

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Robert Ndunguru (Guest) on March 25, 2024

Baraka kwako na familia yako.

Benjamin Kibicho (Guest) on November 19, 2023

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Bernard Oduor (Guest) on September 19, 2023

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Dorothy Nkya (Guest) on September 5, 2023

Nakuombea šŸ™

Alice Mwikali (Guest) on April 22, 2023

Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima

Anthony Kariuki (Guest) on April 19, 2023

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Joyce Nkya (Guest) on December 31, 2022

Mungu ni mwema, wakati wote!

Samuel Were (Guest) on December 20, 2022

Rehema zake hudumu milele

Catherine Naliaka (Guest) on November 29, 2022

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Alice Wanjiru (Guest) on June 9, 2022

Imani inaweza kusogeza milima

Mariam Kawawa (Guest) on January 26, 2022

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 17, 2021

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Edith Cherotich (Guest) on October 12, 2021

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Jackson Makori (Guest) on October 10, 2021

Katika imani, yote yanawezekana

Betty Cheruiyot (Guest) on September 5, 2021

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Alex Nyamweya (Guest) on November 4, 2020

Mwamini katika mpango wake.

John Malisa (Guest) on October 4, 2020

Rehema hushinda hukumu

Edward Chepkoech (Guest) on July 20, 2020

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joyce Nkya (Guest) on July 11, 2020

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Susan Wangari (Guest) on May 29, 2020

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Peter Mbise (Guest) on March 10, 2020

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Francis Njeru (Guest) on March 9, 2020

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Esther Nyambura (Guest) on November 17, 2019

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Rose Mwinuka (Guest) on September 23, 2019

Tumaini ni nanga ya roho

Sarah Achieng (Guest) on July 24, 2019

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Anna Kibwana (Guest) on July 6, 2019

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Elizabeth Mrope (Guest) on May 31, 2019

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Sarah Achieng (Guest) on March 2, 2019

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Andrew Odhiambo (Guest) on February 2, 2019

Mungu akubariki!

Jackson Makori (Guest) on December 15, 2018

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Alice Wanjiru (Guest) on November 10, 2018

Sifa kwa Bwana!

Catherine Naliaka (Guest) on November 3, 2018

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

John Kamande (Guest) on October 18, 2018

Dumu katika Bwana.

Patrick Mutua (Guest) on April 4, 2018

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Anna Sumari (Guest) on February 2, 2018

Mwamini Bwana; anajua njia

Peter Otieno (Guest) on October 16, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Robert Okello (Guest) on August 27, 2017

Endelea kuwa na imani!

Martin Otieno (Guest) on July 15, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Peter Mwambui (Guest) on June 10, 2017

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Jackson Makori (Guest) on March 6, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Victor Mwalimu (Guest) on March 4, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Diana Mallya (Guest) on February 20, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Mariam Kawawa (Guest) on February 3, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Carol Nyakio (Guest) on September 18, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Jacob Kiplangat (Guest) on August 15, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Anthony Kariuki (Guest) on June 7, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Francis Njeru (Guest) on November 1, 2015

Neema na amani iwe nawe.

John Mushi (Guest) on October 8, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Victor Kimario (Guest) on August 22, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Related Posts

MALAIKA WA MUNGU

MALAIKA WA MUNGU

Read More
Huruma ya Mungu: Nguvu ya Kufufua na Kurejesha

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Kufufua na Kurejesha

Huruma ya Mungu: Nguvu ya Kufufua na Kurejesha

Ni kweli kwamba maisha yetu yanapitia chang... Read More

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa na amani kati ya dini mbalimbali?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa na amani kati ya dini mbalimbali?

Je, Kanisa Katoliki linahubiri na kufundisha umuhimu wa kuheshimu uhuru wa dini na kukuza uelewa ... Read More

Ibada ya Chaplet ya Huruma ya Mungu: Sala ya Upatanisho na Ukombozi

Ibada ya Chaplet ya Huruma ya Mungu: Sala ya Upatanisho na Ukombozi

Ibada ya Chaplet ya Huruma ya Mungu: Sala ya Upatanisho na Ukombozi

Sala ni njia ya kuwasi... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ubatizo?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ubatizo?

Sakramenti ya Ubatizo ni mojawapo ya mambo muhimu sana katika Kanisa Katoliki. Ubatizo unakusudia... Read More

Je, Kuangalia Picha za Ngono ni dhambi?

Je, Kuangalia Picha za Ngono ni dhambi?

Read More
Je, Kanisa Katoliki linamwomba Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linamwomba Bikira Maria?

Je, Kanisa Katoliki linamwomba Bikira Maria?

Ndio, Kanisa Katoliki linamwomba Bikira Maria... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Kipaimara?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Kipaimara?

Sakramenti ya Kipaimara ni sakramenti ya tatu katika Kanisa Katoliki baada ya Sakramenti ya Ubati... Read More

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo?

Je, Kanisa Katoliki linakiri na kufundisha amri kumi za Mungu kama mwongozo wa maisha ya Kikristo... Read More

Kuomba Huruma ya Mungu: Njia ya Upatanisho na Utakaso

Kuomba Huruma ya Mungu: Njia ya Upatanisho na Utakaso

Kuomba huruma ya Mungu ni njia ya upatanisho na utakaso ambayo inawezesha mwamini kusafishwa kuto... Read More

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Mungu mmoja au Miungu mingi?

Je, Kanisa Katoliki linamwamini Mungu mmoja au Miungu mingi?

Salaam wapenzi wa Kristo! Leo tunajadili swali muhimu sana kuhusu imani yetu ya kikatoliki. Je, K... Read More

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ndoa?

Ni nini imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya Ndoa?

Karibu katika makala hii ambapo tutajifunza kuhusu imani ya Kanisa Katoliki kuhusu sakramenti ya ... Read More

šŸ“– Explore More Articles