Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Featured Image
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo zako na…….. Kabla hajamalizia sentensi simu ya mkewe ikaita, kumbe alikuwa ni baba yake. Basi mzee akaanza kuongea na binti yake huku jamaa anasikia "Aisee mwanangu nimebahatika kuuza ile nyumba yangu sasa nimeona niwatumie milioni 20 mjaribu kuanzisha mradi na mwenzio. Haya mwambie yeye nitampigia kesho kama ana mradi mwingine nimpe hela kidogo".Baada ya simu kukatwa mke akamgeukia jamaa akamuuliza,"eeenhee!!! ulikuwa unasema umenichoka nikusanye nguo zangu halafu iweje? Jamaa kwa upole akajibu "Nilikuwa nasema ukusanye nguo zako na unipe nifue".
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mariam Kawawa (Guest) on May 8, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Issa (Guest) on May 3, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Agnes Njeri (Guest) on February 18, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Anna Kibwana (Guest) on February 12, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on January 29, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Abubakari (Guest) on December 30, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Mutua (Guest) on December 21, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jackson Makori (Guest) on December 20, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on November 25, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Samson Mahiga (Guest) on November 21, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on November 19, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Jane Muthui (Guest) on November 18, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on November 3, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on October 16, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Daniel Obura (Guest) on October 4, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Dorothy Nkya (Guest) on September 24, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Elizabeth Malima (Guest) on August 25, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Victor Kimario (Guest) on August 16, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on July 30, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on July 26, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

David Ochieng (Guest) on July 10, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Mallya (Guest) on June 21, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on June 2, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Chacha (Guest) on May 12, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Fikiri (Guest) on April 23, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

David Sokoine (Guest) on April 8, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Ndoto (Guest) on March 15, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Michael Onyango (Guest) on February 28, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on February 4, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on February 3, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mercy Atieno (Guest) on January 6, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on November 24, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on October 25, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on October 13, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Sarah Mbise (Guest) on October 7, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on August 9, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on August 5, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on June 23, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on May 7, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on May 3, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Victor Mwalimu (Guest) on April 28, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 27, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mwagonda (Guest) on April 9, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 25, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on March 19, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on March 10, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Samuel Were (Guest) on March 5, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on February 15, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Akumu (Guest) on February 2, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on January 12, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on January 8, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Victor Malima (Guest) on January 7, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Faith Kariuki (Guest) on November 13, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on November 7, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 23, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on October 17, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Mallya (Guest) on October 15, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Related Posts

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More