Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu GIRL: Enhee… BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako GIRL: Ooh baby u care.. BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque GIRL: Baby u are awesome… BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula…. GIRL: Enhee…na sisi?? BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives GIRL: Baby I love you BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamas….halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani GIRL: Ooh my sweetheart…halafu tukitoka huko?? BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Malima (Guest) on January 16, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Warda (Guest) on January 10, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Samson Tibaijuka (Guest) on December 15, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on November 20, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joseph Njoroge (Guest) on November 8, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mchuma (Guest) on October 28, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Maida (Guest) on October 15, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Samuel Omondi (Guest) on September 25, 2021

🀣πŸ”₯😊

Kassim (Guest) on September 4, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Charles Mrope (Guest) on August 29, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mariam Kawawa (Guest) on August 2, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Zuhura (Guest) on July 31, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Edward Lowassa (Guest) on July 26, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on July 20, 2021

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mjaka (Guest) on July 13, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jane Muthui (Guest) on July 4, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nahida (Guest) on June 29, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Kamau (Guest) on June 24, 2021

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Isaac Kiptoo (Guest) on June 18, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 11, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Khamis (Guest) on June 8, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Lissu (Guest) on May 10, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on May 3, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 13, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Binti (Guest) on April 2, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Edith Cherotich (Guest) on March 24, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Agnes Lowassa (Guest) on March 21, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Mallya (Guest) on March 17, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Nassor (Guest) on March 13, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alex Nyamweya (Guest) on March 7, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Josephine Nduta (Guest) on February 16, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Ann Awino (Guest) on February 2, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on January 13, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Emily Chepngeno (Guest) on January 7, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on December 11, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Ndungu (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on December 3, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Tambwe (Guest) on November 2, 2020

Asante Ackyshine

Lucy Mahiga (Guest) on October 20, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Patrick Akech (Guest) on October 8, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on September 9, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on September 6, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Martin Otieno (Guest) on September 5, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on September 2, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

John Mushi (Guest) on August 30, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Safiya (Guest) on August 4, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Philip Nyaga (Guest) on July 23, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

James Mduma (Guest) on July 14, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hashim (Guest) on July 4, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Sarah Achieng (Guest) on May 13, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on April 22, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Alice Mrema (Guest) on April 7, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on April 2, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on April 1, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on March 31, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on March 30, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on March 23, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Bahati (Guest) on March 21, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Daudi (Guest) on March 20, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Related Posts

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

πŸ“– Explore More Articles