Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Featured Image
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali", Wakapiga magoti…: MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake. MUME: Emen… MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko. MUME: Emen… MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe. MUME: Kimya… MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana. MUME: …….!! MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali. MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe. Chezea mawaifu walokole wewe!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Tibaijuka (Guest) on August 22, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mwanaidi (Guest) on August 13, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Christopher Oloo (Guest) on August 7, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Fikiri (Guest) on August 6, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

David Kawawa (Guest) on July 11, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Raphael Okoth (Guest) on July 5, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on June 13, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Edith Cherotich (Guest) on May 27, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Dorothy Nkya (Guest) on May 8, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

David Musyoka (Guest) on April 19, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Halimah (Guest) on April 15, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Violet Mumo (Guest) on March 11, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Alice Mwikali (Guest) on February 13, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Charles Mchome (Guest) on January 22, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Janet Wambura (Guest) on January 15, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Jamal (Guest) on January 13, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on January 5, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on December 8, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on December 5, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on November 23, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on November 9, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on November 9, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Josephine Nekesa (Guest) on October 7, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on August 3, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on May 19, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

James Kimani (Guest) on May 11, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Kimario (Guest) on May 3, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on April 25, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Bakari (Guest) on April 18, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Stephen Kikwete (Guest) on April 16, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on April 7, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Mchome (Guest) on March 7, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Daniel Obura (Guest) on March 4, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on February 6, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Biashara (Guest) on January 16, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

David Ochieng (Guest) on January 15, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nora Kidata (Guest) on November 29, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on November 23, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on November 20, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Jane Malecela (Guest) on October 28, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on October 24, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Kawawa (Guest) on October 24, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lydia Mutheu (Guest) on August 17, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on August 8, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mgeni (Guest) on July 21, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 25, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on June 8, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

John Malisa (Guest) on June 4, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Mrope (Guest) on May 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on May 14, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Makame (Guest) on May 8, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Margaret Mahiga (Guest) on May 1, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

David Sokoine (Guest) on April 14, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Paul Ndomba (Guest) on April 14, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Emily Chepngeno (Guest) on March 15, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Khatib (Guest) on March 4, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Monica Lissu (Guest) on February 10, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on February 6, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More