Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?
Msichana: Baba kaniambia.

Mama: ok. Sababu ya pili?
Msichana: Napasi nguo vizuri kuliko wewe

Mama: Nani kakuambia na hili?

Msichana: Baba pia kaniambia

Mama: ok, na sababu ya tatu?

Msichana: Najitahidi kitandani kuliko wewe.

(Hapa mama kaonekana kutaka kujua zaidi na akawa tayari kujiandaa kumrukia akate kichwa cha binti mara moja)

Mama: Mume wangu kakuambia na hili pia?

Msichana: Hapana ni Shamba boy kaniambia mimi najitahidi kitandani kuliko wewe.

Mama: Tafadhali punguza sauti baba yako asisikie. Nitakupandishia mshahara wako mara tatu…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jacob Kiplangat (Guest) on July 6, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on June 27, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on June 5, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on May 18, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on May 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Muslima (Guest) on March 29, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Shabani (Guest) on March 25, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on February 27, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jackson Makori (Guest) on February 24, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on February 6, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on January 23, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Anna Malela (Guest) on January 2, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on November 28, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Nchi (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 17, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Victor Mwalimu (Guest) on September 5, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

James Kimani (Guest) on August 16, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on August 4, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on July 24, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on July 4, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on June 23, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

John Malisa (Guest) on May 16, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Susan Wangari (Guest) on May 16, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Binti (Guest) on May 9, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwajabu (Guest) on May 4, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Edward Lowassa (Guest) on April 23, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Hashim (Guest) on April 19, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Shamim (Guest) on April 4, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Janet Sumari (Guest) on April 3, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Francis Mrope (Guest) on March 25, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joseph Njoroge (Guest) on March 17, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

James Kawawa (Guest) on February 27, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on February 22, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Alex Nyamweya (Guest) on February 16, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jafari (Guest) on February 12, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Kevin Maina (Guest) on February 3, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Saidi (Guest) on January 21, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Mwikali (Guest) on January 15, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on December 20, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Shani (Guest) on December 4, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Rose Mwinuka (Guest) on November 29, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mwajabu (Guest) on November 27, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mercy Atieno (Guest) on October 27, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on September 15, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Kahina (Guest) on August 24, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Rubea (Guest) on August 9, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mwajabu (Guest) on August 6, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Salma (Guest) on July 17, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Mwalimu (Guest) on June 22, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mercy Atieno (Guest) on May 7, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on April 26, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on April 22, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 12, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

David Sokoine (Guest) on April 6, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Issack (Guest) on February 25, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Diana Mallya (Guest) on February 2, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Ruth Wanjiku (Guest) on January 30, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Zakia (Guest) on January 24, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on January 24, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Related Posts

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More