Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Featured Image

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,

Jamaa: Muhudumu nipe supu na kila mtu humu ndani mpe supu maana ninapokunywa supu kila mtu lazima anywe supu. Watu wakapewa supu tena safari hii wakapiga makofi.
Jamaa: Muhudumu nipe bili, na kila mtu humu ndani mpe bili maana wakati nalipa bili yangu kila mtu lazima alipe yake. Zogo lilianzia hapo…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

John Lissu (Guest) on March 6, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Ali (Guest) on February 7, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Joseph Kitine (Guest) on January 23, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on January 12, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mashaka (Guest) on December 29, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on December 23, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on December 21, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on December 13, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Margaret Mahiga (Guest) on December 12, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 17, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mchawi (Guest) on November 16, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Lucy Kimotho (Guest) on November 10, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Kenneth Murithi (Guest) on October 31, 2021

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Zuhura (Guest) on October 28, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mariam (Guest) on October 10, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Rose Kiwanga (Guest) on October 7, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joyce Aoko (Guest) on October 6, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on October 4, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Sharon Kibiru (Guest) on September 23, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on September 22, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Anna Mahiga (Guest) on August 18, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on August 5, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Victor Malima (Guest) on August 2, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on July 24, 2021

Asante Ackyshine

Grace Mligo (Guest) on June 28, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on June 27, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on June 21, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 9, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 4, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Janet Sumaye (Guest) on June 1, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jamila (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mercy Atieno (Guest) on May 2, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwachumu (Guest) on April 15, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Kiza (Guest) on April 13, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Margaret Anyango (Guest) on April 8, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Habiba (Guest) on March 27, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Raphael Okoth (Guest) on March 16, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Josephine Nekesa (Guest) on March 12, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on February 14, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Amir (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Kimario (Guest) on January 3, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Linda Karimi (Guest) on December 25, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on December 25, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mohamed (Guest) on December 9, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Sharon Kibiru (Guest) on November 14, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on November 12, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Ruth Mtangi (Guest) on September 18, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Josephine (Guest) on September 16, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Hassan (Guest) on August 30, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Frank Macha (Guest) on August 14, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Nancy Kawawa (Guest) on August 12, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on July 29, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

John Kamande (Guest) on July 5, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on June 21, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

George Mallya (Guest) on June 15, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on May 20, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on April 16, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Michael Onyango (Guest) on April 16, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mwafirika (Guest) on April 13, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Nora Kidata (Guest) on April 12, 2020

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More