Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

MLEVI: Niletee supu kisha wasikilize wote waliokaa hapa na wao wape supu sipendi kunywa supu watu wananiangalia
Safari hii watu wakapiga makofi
Baadae akamuita mhudumu
MLEVI: Niandikie bili zangu kisha waandikie wote bili zao sipendi kulipa huku watu wananiangalia

Wale wateja wakamvaa na kumshushia kichapo… teh teh teh teh teh hii kali hakuna cha bure mjini hahahaha na jasho la mtu haliliwi wandugu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Athumani (Guest) on May 15, 2022

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lucy Mahiga (Guest) on April 12, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Shukuru (Guest) on April 4, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Francis Njeru (Guest) on March 23, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Kassim (Guest) on February 4, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Robert Okello (Guest) on February 4, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Malisa (Guest) on January 9, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Alex Nakitare (Guest) on January 9, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Alice Jebet (Guest) on January 1, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on December 21, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on December 8, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Diana Mumbua (Guest) on December 2, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

James Malima (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on October 1, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Rehema (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 15, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on September 2, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on August 10, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

David Sokoine (Guest) on July 23, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Kiza (Guest) on July 16, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mwafirika (Guest) on July 1, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Malisa (Guest) on May 29, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Emily Chepngeno (Guest) on May 10, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on May 6, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on May 5, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on March 19, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

John Malisa (Guest) on March 18, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on February 22, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on January 26, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Diana Mumbua (Guest) on January 20, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Rahim (Guest) on December 19, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Joseph Kawawa (Guest) on December 5, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nassar (Guest) on December 1, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Richard Mulwa (Guest) on November 8, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alice Mrema (Guest) on November 7, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

John Lissu (Guest) on September 7, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on August 28, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on August 20, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on July 26, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mercy Atieno (Guest) on July 13, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on July 10, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Josephine Nduta (Guest) on June 29, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Peter Otieno (Guest) on June 27, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Michael Mboya (Guest) on June 22, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on May 31, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Edward Lowassa (Guest) on May 24, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Robert Okello (Guest) on April 25, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

David Chacha (Guest) on March 31, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Janet Sumari (Guest) on March 25, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on March 17, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Rose Lowassa (Guest) on March 13, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on March 8, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joy Wacera (Guest) on March 4, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on February 9, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on February 6, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rose Waithera (Guest) on December 17, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on October 30, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 6, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Rose Mwinuka (Guest) on August 14, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Related Posts

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

πŸ“– Explore More Articles