Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Featured Image

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyumbani.

kwa furaha waliopata wazazi, mama aliamua
kurosti kuku WAWILI(2) kwa ajili yao.
Mezani jamaa akataka kuwadhihirishia kuwa yeye ni msomi,
akawaambia "hawa kuku unaona wako wawili ila kwa kutumia
sheria za arthematic na geometric kuna kuku watatu mezani"
mama"hee embu tuoneshe mwanangu"
jamaa akachukua kuku ya kwanza akainua juu "ngapi?"
wazazi"moja" akainua wa pili "ngapi?" wazazi "mbili"
akawarudisha akisema"wazee wangu nadhani japo shule
hamkwenda ila mnajua moja+mbili=tatu so tuna kuku watatu
mezani"
baba"mmh kweli mwanangu umesoma. SASA TUFANYE IVI
MIMI NACHUKUA KUKU MOJA NA MAMA YAKO WA PILI WE
UTAKULA UYO WA TATU ULIYOSEMA"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nancy Kawawa (Guest) on March 21, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on March 3, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on February 19, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on December 19, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Maulid (Guest) on December 19, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Wande (Guest) on November 28, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mary Kidata (Guest) on November 10, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Janet Wambura (Guest) on October 31, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Nashon (Guest) on October 21, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Catherine Naliaka (Guest) on October 15, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on October 9, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Yahya (Guest) on September 19, 2021

πŸ˜… Bado ninacheka!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 2, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Peter Mbise (Guest) on August 31, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on July 30, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on July 26, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Chum (Guest) on July 13, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on June 23, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Lydia Mahiga (Guest) on June 22, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on June 18, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on June 17, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alice Mrema (Guest) on April 12, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Hashim (Guest) on March 30, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Josephine Nduta (Guest) on March 24, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on February 9, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on January 16, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Anna Malela (Guest) on January 1, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elijah Mutua (Guest) on December 24, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwanahawa (Guest) on December 15, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Henry Mollel (Guest) on December 13, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Catherine Naliaka (Guest) on December 9, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Isaac Kiptoo (Guest) on November 30, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anna Mchome (Guest) on November 18, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nyamweya (Guest) on November 11, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Chacha (Guest) on October 21, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Sultan (Guest) on October 19, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Fatuma (Guest) on October 5, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Sharon Kibiru (Guest) on October 1, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on August 30, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Paul Kamau (Guest) on June 17, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on May 31, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Josephine Nduta (Guest) on May 30, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on May 24, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sharifa (Guest) on May 9, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Asha (Guest) on May 6, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Michael Onyango (Guest) on March 11, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on February 27, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on January 24, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Fatuma (Guest) on January 20, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on December 3, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Lydia Mahiga (Guest) on November 29, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on November 22, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on November 7, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on October 28, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on October 14, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Stephen Kangethe (Guest) on October 11, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nakitare (Guest) on September 9, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Raphael Okoth (Guest) on August 29, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Zawadi (Guest) on August 19, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Related Posts

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

πŸ“– Explore More Articles