Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Featured Image

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshituaπŸ˜‚πŸ˜‚
2. Kwenye kupenda; mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendaeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
3.Kwenye kusaidia; mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
4.Kwenye maamuzi; mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
5.Kwenye kudanganya; Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaumeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
6.Kwenye ugomvi; wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kexho tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
7.Kwenye ndoa; mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
8.Kwenye kukata tamaa; mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
9.Kwenye kula;Mwanaume hushiba alafu huanza madoido, mwanamke huanza na madoido alafu badae hujilaumu hakushibaπŸ˜‚πŸ˜‚
10.Kwenye siri; Mwanaume hutunza siri hasa za aibu, mwanamke humueleza shoga yake badae hugombana nae baada ya kumrudia mwenyewe kwa siku 2 tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hizi ni baadhi tu ya sifa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke….. VIVA GENTLEMENπŸ‘ŠπŸ½πŸ‘Š

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Salima (Guest) on December 3, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Charles Mboje (Guest) on November 1, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Selemani (Guest) on October 24, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Joseph Kawawa (Guest) on October 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on October 16, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine (Guest) on August 16, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rukia (Guest) on August 11, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mutheu (Guest) on August 4, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Baraka (Guest) on July 28, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Sharon Kibiru (Guest) on July 15, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on July 1, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on June 30, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Kibona (Guest) on June 29, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on June 15, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 14, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

David Sokoine (Guest) on May 31, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on April 30, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on April 27, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Jafari (Guest) on April 14, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Betty Cheruiyot (Guest) on March 18, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on March 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on March 6, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on March 1, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on February 23, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Christopher Oloo (Guest) on February 13, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on February 4, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Grace Mligo (Guest) on January 21, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on January 13, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Nuru (Guest) on December 4, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwakisu (Guest) on November 16, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Elizabeth Malima (Guest) on October 22, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Charles Mrope (Guest) on October 14, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Peter Mugendi (Guest) on September 22, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on September 18, 2020

πŸ˜† Kali sana!

James Kimani (Guest) on September 7, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Nuru (Guest) on September 1, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Joseph Kawawa (Guest) on August 24, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Faith Kariuki (Guest) on August 19, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on July 2, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Moses Mwita (Guest) on June 17, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Robert Ndunguru (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Catherine Mkumbo (Guest) on May 19, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on April 24, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Nancy Akumu (Guest) on April 7, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on April 4, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Mary Sokoine (Guest) on March 26, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on March 26, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Odhiambo (Guest) on March 25, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on March 10, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Grace Njuguna (Guest) on February 5, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Peter Mwambui (Guest) on January 6, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on December 12, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 3, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mary Njeri (Guest) on November 29, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on November 28, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on November 17, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mgeni (Guest) on November 3, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Francis Mrope (Guest) on November 1, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edith Cherotich (Guest) on September 17, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Hellen Nduta (Guest) on August 12, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Related Posts

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About