Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Featured Image

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.

MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.

MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!

MUMEΒ kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo chubwiiiiiii!

MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.

MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.

MUME: Piga kelele na wakija uwambie unakotoka usiku huu na khanga moja.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Maneno (Guest) on June 2, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Nancy Komba (Guest) on April 25, 2022

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Lydia Mutheu (Guest) on April 6, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Robert Ndunguru (Guest) on March 27, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on March 25, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Fadhili (Guest) on March 13, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Susan Wangari (Guest) on February 26, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Nkya (Guest) on February 9, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on January 21, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Nkya (Guest) on January 12, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Zawadi (Guest) on January 8, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on January 7, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on December 31, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on December 15, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Mwangi (Guest) on November 18, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on October 24, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on October 18, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on September 15, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on August 27, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Ndoto (Guest) on August 6, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mary Kidata (Guest) on July 30, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on July 17, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on July 4, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joy Wacera (Guest) on May 25, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on May 8, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Shani (Guest) on April 28, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Rehema (Guest) on April 22, 2021

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Andrew Mahiga (Guest) on April 16, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

George Mallya (Guest) on April 6, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Hekima (Guest) on April 2, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Paul Ndomba (Guest) on March 2, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

David Nyerere (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Binti (Guest) on December 9, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

David Ochieng (Guest) on November 30, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on November 14, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Elizabeth Mrope (Guest) on October 23, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Sharon Kibiru (Guest) on October 18, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Furaha (Guest) on October 13, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 5, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Azima (Guest) on September 28, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanakhamis (Guest) on September 26, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Nancy Kabura (Guest) on September 3, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Nancy Kawawa (Guest) on August 19, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on August 6, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

James Mduma (Guest) on August 5, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Edward Lowassa (Guest) on July 27, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Fredrick Mutiso (Guest) on July 27, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Sumaye (Guest) on July 9, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Andrew Mahiga (Guest) on July 2, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Richard Mulwa (Guest) on May 29, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Sokoine (Guest) on May 21, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on April 27, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on March 18, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on March 11, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on March 6, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Lydia Mahiga (Guest) on February 16, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on February 15, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

John Mushi (Guest) on February 12, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on February 9, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

πŸ“– Explore More Articles