Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Featured Image

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

A: *Hapana, nimebadilisha kichwa.*

Q: Hiyo simu umenunua?

A: *Hapana nimeitengeneza mwenyewe.*

Q: Utakula mboga na nini?

A: *Mdomo*

(Simu inaita usiku,then aliyepiga anauliza) Q: Nimekuamsha?

A: *Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.*

Q: Gazeti la leo linasemaje?

A: *Sijaongea nalo.*

Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?

A: *Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.*

Q: Hiyo ni ajali?

A: *Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down* .

Q: Umepause movie?

A: *Hapana wamechoka kuact wanarest.*
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Henry Sokoine (Guest) on January 28, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Kevin Maina (Guest) on January 20, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on January 8, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 20, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on December 13, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on November 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mwafirika (Guest) on October 26, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lydia Mutheu (Guest) on October 1, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Majid (Guest) on October 1, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mwagonda (Guest) on August 22, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Shamsa (Guest) on August 22, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on July 17, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on July 15, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Raha (Guest) on June 27, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Jaffar (Guest) on June 19, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Maimuna (Guest) on June 2, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Stephen Amollo (Guest) on June 1, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on May 25, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on May 20, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on May 10, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on April 24, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Kiza (Guest) on April 15, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on April 10, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on March 17, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

David Sokoine (Guest) on February 17, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on February 8, 2021

😊🀣πŸ”₯

Shamsa (Guest) on January 19, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Betty Kimaro (Guest) on December 8, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Ruth Wanjiku (Guest) on November 28, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Carol Nyakio (Guest) on November 20, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on November 10, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on November 7, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Diana Mallya (Guest) on October 28, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on October 18, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wande (Guest) on October 8, 2020

Asante Ackyshine

Margaret Mahiga (Guest) on October 2, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on September 22, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Leila (Guest) on July 19, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Martin Otieno (Guest) on July 7, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alice Mwikali (Guest) on June 26, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on May 27, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jane Muthoni (Guest) on May 4, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Halima (Guest) on April 24, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Jaffar (Guest) on March 30, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Peter Tibaijuka (Guest) on March 30, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Janet Wambura (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Makame (Guest) on February 23, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Francis Mtangi (Guest) on February 22, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on February 22, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Joyce Nkya (Guest) on February 20, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Joy Wacera (Guest) on February 7, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on February 7, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on January 13, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Sarah Mbise (Guest) on December 7, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Sekela (Guest) on November 9, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Francis Mtangi (Guest) on September 27, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jabir (Guest) on September 8, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Malisa (Guest) on August 26, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jamila (Guest) on August 18, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Benjamin Kibicho (Guest) on August 6, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Related Posts

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
πŸ“– Explore More Articles