Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Featured Image

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

β€œEe Yesu tupe moyo wako kama amana ya upendo wako na kimbilio letu, ili tupate pumziko salama wakati wa maisha yetu na faraja tamu saa ya kufa kwetu”.
Baba Yetu ……..
Salamu Maria ……. (mara tatu)
Nasadiki ………..

Kwenye chembe kubwa Sali (Badala ya β€˜Baba Yetu’):

β€œNinakuabudu, ninakutukuza na ninakupenda, Ee Moyo wa Yesu wangu mpenzi, uliopenywa na huzuni nyingi kwa ajili ya dhambi, ambazo zimekuwa zikitendwa hata leo, dhidi ya Sakramenti Takatifu sana ya Altare. Ninakutolea hapo kwa kuridhika, moyo wa Mama yako mpendevu, na mastahili ya watakatifu. Amina”.

Kwenye chembe ndogo sali (Badala ya β€˜Salamu Maria’):

β€œEe Moyo Mtakatifu wa Yesu, uwakao mapendo kwetu, washa nyoyo zetu kwa mapendo yako"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Janet Sumaye (Guest) on March 23, 2018

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Paul Kamau (Guest) on February 20, 2018

Neema ya Mungu inatosha kwako

Violet Mumo (Guest) on December 12, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Robert Okello (Guest) on September 14, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

George Wanjala (Guest) on August 31, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Nora Kidata (Guest) on July 17, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Elizabeth Malima (Guest) on June 23, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Daniel Obura (Guest) on June 21, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

George Ndungu (Guest) on June 20, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Ruth Kibona (Guest) on May 27, 2017

Dumu katika Bwana.

Bernard Oduor (Guest) on January 29, 2017

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Edward Lowassa (Guest) on January 20, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Alex Nyamweya (Guest) on November 29, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Ann Awino (Guest) on October 14, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Peter Mwambui (Guest) on July 24, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Margaret Anyango (Guest) on July 18, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

George Mallya (Guest) on May 28, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Grace Majaliwa (Guest) on May 3, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Tumshukuru Mungu kwa yote

Lydia Mahiga (Guest) on March 21, 2016

Rehema hushinda hukumu

Diana Mumbua (Guest) on March 9, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Catherine Mkumbo (Guest) on March 7, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Janet Sumari (Guest) on February 16, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

James Malima (Guest) on January 9, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

James Kimani (Guest) on October 25, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

John Kamande (Guest) on July 14, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

David Musyoka (Guest) on June 14, 2015

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Henry Sokoine (Guest) on June 13, 2015

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Related Posts

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

NOVENA YA ROHO MTAKATIFU KWA SIKU ZOTE TISA

Ufuatao ni mtiririko wa Novena ya Roho Mtakatifu kwa siku zote tisa.

Kusali nov... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About