Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Featured Image

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya shetani, Mungu amtiishe, tunaomba sana, nawe Mkuu wa Majeshi ya Mbinguni kwa nguvu ya Mungu uwaangushe motoni shetani na pepo wabaya wengine wote, wanaozunguka duniani, ili kuzipoteza roho za watu.Β Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elizabeth Mtei (Guest) on February 4, 2018

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Peter Mbise (Guest) on December 26, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Samson Tibaijuka (Guest) on October 9, 2017

Sifa kwa Bwana!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 21, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Lydia Mutheu (Guest) on May 26, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Josephine Nduta (Guest) on May 10, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Malima (Guest) on March 24, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Peter Otieno (Guest) on January 25, 2017

Mungu akubariki!

Francis Njeru (Guest) on January 10, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Anna Mchome (Guest) on November 4, 2016

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Edith Cherotich (Guest) on September 30, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Nancy Kawawa (Guest) on September 28, 2016

Neema na amani iwe nawe.

Jane Muthoni (Guest) on September 12, 2016

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Charles Wafula (Guest) on March 8, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Jane Muthui (Guest) on February 2, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Kahina (Guest) on January 20, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Agnes Sumaye (Guest) on January 20, 2016

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Grace Wairimu (Guest) on December 12, 2015

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Mary Sokoine (Guest) on December 2, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Lucy Mahiga (Guest) on November 16, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Vincent Mwangangi (Guest) on November 1, 2015

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Betty Kimaro (Guest) on September 4, 2015

Rehema zake hudumu milele

Paul Ndomba (Guest) on June 10, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

David Kawawa (Guest) on May 9, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Susan Wangari (Guest) on May 1, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Related Posts

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA MAOMBI KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu wa Yesu, ninakukimbilia, ninakuja kwako katika mikono yako yenye huruma. Ndiwe ... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

πŸ“– Explore More Articles