Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA BWANA: SALA YA BABA YETU

Featured Image

Baba yetu uliye mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako ufike
Utakalo lifanyike
Duniani kama mbinguni
Utupe leo mkate wetu wa kila siku
Utusamehe makosa yetu
Kama tunavyowasamehe
Na sisi waliotukosea
Usitutie katika kishawishi
Lakini utuopoe maovuni.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Moses Mwita (Guest) on August 12, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Elizabeth Mrema (Guest) on July 31, 2017

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Peter Mwambui (Guest) on June 16, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Michael Mboya (Guest) on June 10, 2017

Mungu akubariki!

Monica Lissu (Guest) on April 25, 2017

Neema na amani iwe nawe.

Martin Otieno (Guest) on March 12, 2017

Tumaini ni nanga ya roho

Josephine Nekesa (Guest) on March 10, 2017

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Elizabeth Mrope (Guest) on February 8, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Violet Mumo (Guest) on January 11, 2017

Nakuombea πŸ™

Nora Lowassa (Guest) on December 7, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Agnes Sumaye (Guest) on December 6, 2016

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Ann Awino (Guest) on November 22, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Andrew Mahiga (Guest) on September 5, 2016

Rehema zake hudumu milele

Peter Tibaijuka (Guest) on September 5, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Lucy Mahiga (Guest) on April 30, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Bernard Oduor (Guest) on April 10, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Benjamin Kibicho (Guest) on January 27, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Christopher Oloo (Guest) on January 23, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Martin Otieno (Guest) on August 18, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Faith Kariuki (Guest) on July 4, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Elijah Mutua (Guest) on May 31, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Joseph Kitine (Guest) on May 5, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Robert Ndunguru (Guest) on April 16, 2015

Mwamini Bwana; anajua njia

Related Posts

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

SALA KWA MAMA WA UCHUNGU KUOMBA NEEMA YA PEKEE

Ee Mama mbarikiwa na Bikira mwenye uchungu, Malkia wa Mashahidi, uliyesimama chini ya msalaba na ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About