Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Featured Image

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa kutoa misaada/ kwa wanaokukimbilia katika matatizo yao mazito./ Pia ni mwombezi wa waliopondeka moyo./

Mimi ni mmoja wa hao./ Nakujia na moyo uliojaa shida na matatizo./ Nakusihi kwa moyo wote/ unisaidie kwa maombezi yako yenye nguvu/ kufikia utatuzi unaofaa kadiri ya mapenzi ya Mungu./ Maisha yangu yamejaa misalaba,/ siku kwa siku matatizo hayapungui./ Moyo wangu umekuwa bahari ya siki chungu sana./ Mapito yangu nayaona yamejaa miiba mikali./ Roho yangu imezama katika dimbwi la machozi na kite./ Nafsi yangu imezingirwa na giza nene./ Ghasia na kukatishwa tamaa ya kuishi/ hunyemelea roho yangu./ Maongozi ya Mungu na imani naviona vinanitoka kidogo kwa kidogo./

Nikielemewa na mawazo kama hayo/ najikuta sina nguvu za kuishi,/ na maisha kwangu ni msalaba mzito/ ninaouogopa hata kuunyakua./ Wewe unaweza kabisa kunitoa katika balaa hili./ Sitaacha kukusihi/ hadi hapo utakaponisaidia/ au kunijulisha mapenzi ya Mungu kwangu./ Natangulia kutoa shukrani kwa jibu liwalo lote.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Sumari (Guest) on September 20, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu alete amani

Carol Nyakio (Guest) on September 1, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Andrew Mahiga (Guest) on May 11, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Margaret Mahiga (Guest) on February 8, 2017

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Rose Waithera (Guest) on January 17, 2017

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Philip Nyaga (Guest) on January 12, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

David Sokoine (Guest) on October 28, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Linda Karimi (Guest) on September 28, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Mariam Kawawa (Guest) on September 16, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Joyce Aoko (Guest) on August 25, 2016

Mwamini Bwana; anajua njia

Edward Lowassa (Guest) on August 19, 2016

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Monica Lissu (Guest) on June 27, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

John Lissu (Guest) on June 10, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Hellen Nduta (Guest) on April 11, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Simon Kiprono (Guest) on February 26, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

Emily Chepngeno (Guest) on February 2, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Brian Karanja (Guest) on November 5, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Mary Mrope (Guest) on October 10, 2015

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Nancy Kabura (Guest) on September 27, 2015

Mwamini katika mpango wake.

Joy Wacera (Guest) on August 5, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Stephen Kikwete (Guest) on July 29, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Anna Mahiga (Guest) on July 1, 2015

Wakati wa Mungu ni kamilifu

David Musyoka (Guest) on June 7, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Related Posts

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

SALA KWA MT. YOSEFU KWA WASIO NA AJIRA WAPATE AJIRA

Ee Mt. Yosefu, tunakuomba kwa ajili ya wale asio na ajira, kwa ajili ya wale wanaotaka kujipatia ... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

Sala ya Malaika wa Bwana

Sala ya Malaika wa Bwana

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu M... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU II

Yesu, Mungu wangu mpenzi,/ upo hapa katika Altare mbele yangu;/ na mimi napiga magoti mbele yako.... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About