Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Majitoleo kwa Bikira Maria

Featured Image

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na mwili wangu, nikikuomba uipokee amana yangu, kuitunzia ulinzi mwema ulinzi bora, ninakuaminia na kila neno langu, matumaini na kitulizo na kisongo chote, na masumbuko na uzima na ukomo wa uzima wangu: nitakayo ndiyo unifanyizie kwa maombezi na stahili zako, ili mambo yangu yote yapate kuongoka, yakiwa na kufuata mapenzi yako, pamoja na mapenzi ya Mwanao. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Moses Mwita (Guest) on March 20, 2017

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Anna Mahiga (Guest) on February 20, 2017

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Jackson Makori (Guest) on February 15, 2017

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Monica Adhiambo (Guest) on February 14, 2017

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Stephen Malecela (Guest) on January 27, 2017

Rehema hushinda hukumu

Mary Kendi (Guest) on November 3, 2016

Endelea kuwa na imani!

Sharon Kibiru (Guest) on September 11, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Agnes Sumaye (Guest) on August 27, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

Michael Mboya (Guest) on June 15, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Elizabeth Mrope (Guest) on June 3, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Mary Mrope (Guest) on April 22, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Wilson Ombati (Guest) on April 12, 2016

Sifa kwa Bwana!

Leila (Guest) on April 1, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Isaac Kiptoo (Guest) on March 15, 2016

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Grace Mushi (Guest) on March 4, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

James Kawawa (Guest) on February 19, 2016

Dumu katika Bwana.

George Tenga (Guest) on February 13, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Raphael Okoth (Guest) on January 4, 2016

Amina

George Wanjala (Guest) on December 1, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Joseph Kiwanga (Guest) on October 6, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Joseph Mallya (Guest) on April 14, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Daniel Obura (Guest) on April 13, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Joyce Mussa (Guest) on April 10, 2015

Tumaini ni nanga ya roho

Related Posts

ATUKUZWE BABA

ATUKUZWE BABA

Atukuzwe Baba
na Mwana
na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo
na sasa,
na siku zo... Read More

Malkia wa Mbingu

Malkia wa Mbingu

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, A... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

LITANIA YA BIKIRA MARIA MAMA WA MATESO

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Bwana utuhurumie
Bwana utuhurumie B... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About