Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala kwa wenye kuzimia

Featured Image

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu, na kwa ajili ya Mama Yako asiye na doa, uwatakase kwa damu yako, watu wote wenye dhambi wanaokufa sasa, na watakaokufa leo.
Moyo wa Yesu uliozomia, uwahurumie watu wanaokufa X3.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Benjamin Kibicho (Guest) on June 18, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Lucy Mushi (Guest) on February 14, 2018

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Elizabeth Mrema (Guest) on June 10, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

George Tenga (Guest) on May 23, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Josephine Nduta (Guest) on May 13, 2017

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Kenneth Murithi (Guest) on May 10, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Mwanaidi (Guest) on August 14, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Frank Macha (Guest) on July 25, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atakuinua

Jackson Makori (Guest) on July 24, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Elizabeth Malima (Guest) on July 22, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Ruth Wanjiku (Guest) on June 17, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Frank Sokoine (Guest) on May 31, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Emily Chepngeno (Guest) on May 31, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Betty Kimaro (Guest) on April 30, 2016

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Nora Lowassa (Guest) on March 19, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 15, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Mary Kidata (Guest) on December 20, 2015

Sifa kwa Bwana!

Moses Mwita (Guest) on October 5, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Lucy Kimotho (Guest) on October 5, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Patrick Akech (Guest) on September 8, 2015

Rehema hushinda hukumu

Elizabeth Mtei (Guest) on July 8, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Jane Muthui (Guest) on May 1, 2015

Dumu katika Bwana.

Nancy Komba (Guest) on April 21, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Related Posts

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE II

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About