Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala ya Malaika wa Bwana

Featured Image

Malaika wa Bwana alimpasha habari Maria, naye akapata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu. Salamu Maria,….

Ndimi Mtumishi wa Bwana, nitendewe ulivyonena. Salamu Maria, ……
Neno wa Bwana akatwaa Mwili, akakaa kwetu. Salamu Maria, …..

Utuombee, ee Mzazi Mtakatifu wa Mungu, tujaliwe ahadi za Kristo.

Tuombe:

Tunakuomba ee Bwana, utie neema yako mioyoni mwetu, ili sisi tuliojua kwa maelezo ya Malaika, kwamba, Kristo Mwanao amejifanya mtu: kwa mateso na Msalaba wake, utufikishe kwenye utukufu wa ufufuko. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristo Bwana wetu, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Mrope (Guest) on June 22, 2017

Mungu ni mwema, wakati wote!

Catherine Naliaka (Guest) on June 19, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Samson Mahiga (Guest) on June 7, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Raphael Okoth (Guest) on April 25, 2017

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

John Mushi (Guest) on April 10, 2017

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Mary Sokoine (Guest) on March 28, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Zakaria (Guest) on March 10, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Margaret Anyango (Guest) on November 16, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Nora Lowassa (Guest) on November 2, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Irene Makena (Guest) on October 2, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Anna Malela (Guest) on September 26, 2016

Mungu akubariki!

Anna Mahiga (Guest) on August 17, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

Christopher Oloo (Guest) on May 7, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

David Sokoine (Guest) on May 3, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 15, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Janet Sumari (Guest) on January 30, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

James Malima (Guest) on December 7, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Betty Akinyi (Guest) on November 15, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Alice Mwikali (Guest) on August 11, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Vincent Mwangangi (Guest) on July 9, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joseph Kitine (Guest) on July 6, 2015

πŸ™πŸ™πŸ™

John Mushi (Guest) on June 12, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Lucy Mahiga (Guest) on May 1, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Related Posts

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaok... Read More

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wa... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Kumbuka ee Bikira Mwenye Rehema

Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

SALA ZA IBADA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo ... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

NOVENA KWA AJILI YA KUJIANDAA KWA SIKUKUU YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Inaweza kusemwa wakati wowote katika mwaka. Kwa ajili ya kujiandaa kwa Sikukuu ya Moyo Mtakatifu ... Read More

SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About