Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Majitoleo ya Asubuhi

Featured Image

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Nilinde tena siku hii, Niache dhambi nikutii, Naomba sana Baba wee, Baraka yako nipokee, Bikira safi ee Maria, Nisipotee unisimamie, Mlinzi Mkuu Malaika wee, Kwa Mungu wetu niombee, Nitake nitende mema tu, Na mwisho nije kwake juu, Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Otieno (Guest) on November 23, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Anna Mchome (Guest) on September 14, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ™ Mungu akufunike na upendo

Janet Mwikali (Guest) on September 8, 2017

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Nancy Kabura (Guest) on July 11, 2017

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Grace Njuguna (Guest) on July 3, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Edward Chepkoech (Guest) on May 13, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Kevin Maina (Guest) on December 24, 2016

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Benjamin Kibicho (Guest) on November 7, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

David Kawawa (Guest) on September 10, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Peter Mugendi (Guest) on September 10, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Rose Kiwanga (Guest) on July 5, 2016

Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia

Agnes Sumaye (Guest) on June 11, 2016

Sifa kwa Bwana!

Grace Mligo (Guest) on May 16, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Sarah Karani (Guest) on March 21, 2016

Endelea kuwa na imani!

Robert Ndunguru (Guest) on March 20, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Samson Tibaijuka (Guest) on March 4, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Peter Tibaijuka (Guest) on August 29, 2015

Rehema hushinda hukumu

Lydia Wanyama (Guest) on August 25, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Elizabeth Mrema (Guest) on July 22, 2015

Nakuombea πŸ™

Mary Sokoine (Guest) on July 2, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Charles Mrope (Guest) on June 1, 2015

Mungu ni mwema, wakati wote!

Sekela (Guest) on April 27, 2015

πŸ™πŸ™πŸ™

Violet Mumo (Guest) on April 7, 2015

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Related Posts

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)

Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About