Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala ya Kuombea Hali njema ya hewa na mvua

Featured Image

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, mpaji wa mema yote, unayetusamehe na kutulinda. Utujalie sisi tunaokusihi, tufurahie hali njema ya hewa na mvua tunayoitamani na kuhitaji. Tutumie daima vipawa vya wema wako kwa ajili ya utukufu wa jina lako, na kwa ajili ya wokovu watu. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana watu Yesu Kristo Mwanao, anayeishi na kutawala nawe katika umoja wa Roho Mtakatifu, Mungu, daima na milele. Amina. `

`Baba Yetu................... Salama Maria............ Atukuzwe Baba........... `

K: `Bikra Maria mama wa msaada wa daima.... W: Utuombee na Utusaidie`

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Moses Kipkemboi (Guest) on October 8, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

David Ochieng (Guest) on July 26, 2017

Rehema zake hudumu milele

Philip Nyaga (Guest) on July 15, 2017

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

John Lissu (Guest) on April 21, 2017

Amina

Elizabeth Mrope (Guest) on April 3, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Charles Mboje (Guest) on March 26, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Grace Wairimu (Guest) on February 26, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Rose Kiwanga (Guest) on January 20, 2017

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Joseph Kawawa (Guest) on December 31, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Margaret Anyango (Guest) on October 2, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Jane Muthui (Guest) on September 29, 2016

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2016

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Janet Mwikali (Guest) on July 12, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Rose Amukowa (Guest) on June 26, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Andrew Odhiambo (Guest) on June 26, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Diana Mallya (Guest) on June 3, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Wilson Ombati (Guest) on June 1, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Lydia Mutheu (Guest) on September 1, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Nora Kidata (Guest) on August 30, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

John Lissu (Guest) on August 26, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Margaret Anyango (Guest) on August 19, 2015

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Elizabeth Mrema (Guest) on July 12, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 29, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Related Posts

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

ROZARI, MATENDO NA LITANI YA MAMA BIKIRA MARIA

Read More
SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

SALA MBELE YA KITI CHA ENZI CHA MUNGU

Sali Atukuzwe 7 kwa heshima ya Malaika 7 wateule ujipatie neema ya kuepa dhambi mbaya saba na kut... Read More

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About