Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kanuni ya imani

Featured Image

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee, Bwana wetu;/ aliyetungwa kwa Roho Mtakatifu,/ akazaliwa na Bikira Maria,/ akateswa kwa mamlaka ya Ponsyo Pilato,/ akasulubiwa, akafa, akazikwa,/ akashukia kuzimu;/ siku ya tatu akafufuka katika wafu;/ akapaa mbinguni;/ amekaa kuume kwa Mungu Baba Mwenyezi;/ toka huko atakuja kuwahukumu wazima na wafu. Nasadiki kwa Roho Mtakatifu,/ Kanisa takatifu katoliki,/ ushirika wa Watakatifu,/ maondoleo ya dhambi,/ ufufuko wa miili,/ uzima wa milele. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Elijah Mutua (Guest) on August 19, 2017

πŸ™πŸ’– Nakusihi Mungu

Jane Malecela (Guest) on July 24, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Susan Wangari (Guest) on July 2, 2017

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Ruth Kibona (Guest) on June 23, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Raphael Okoth (Guest) on June 21, 2017

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Carol Nyakio (Guest) on April 14, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Elizabeth Mrema (Guest) on April 2, 2017

Sifa kwa Bwana!

Charles Mrope (Guest) on March 9, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Robert Okello (Guest) on November 3, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Patrick Kidata (Guest) on October 22, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

George Tenga (Guest) on October 20, 2016

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Margaret Mahiga (Guest) on August 23, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Victor Mwalimu (Guest) on June 28, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Rose Amukowa (Guest) on April 1, 2016

Neema ya Mungu inatosha kwako

Joseph Kawawa (Guest) on March 5, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Chris Okello (Guest) on January 3, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Rose Waithera (Guest) on October 23, 2015

Baraka kwako na familia yako.

Elizabeth Mtei (Guest) on September 26, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Andrew Mahiga (Guest) on August 23, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 18, 2015

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Elizabeth Mrope (Guest) on July 7, 2015

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Anthony Kariuki (Guest) on July 2, 2015

Mungu akubariki!

Diana Mumbua (Guest) on June 22, 2015

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Related Posts

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli

Rozari ya Malaika Mkuu Mikaeli ni sala nzuri sana ya kumheshimu huyu Malaika Mkuu pamoja na makun... Read More

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About