Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sala ya kuomba Kifo chema

Featured Image

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

mnipokee saa ya kufa kwangu.

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

mnijalie nife mikoni mwenu.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Samuel Were (Guest) on November 25, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Bernard Oduor (Guest) on June 28, 2017

Mungu akubariki!

Dorothy Nkya (Guest) on June 13, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Andrew Mahiga (Guest) on April 12, 2017

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Joyce Aoko (Guest) on April 5, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Esther Nyambura (Guest) on March 26, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

James Malima (Guest) on March 19, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Jackson Makori (Guest) on November 11, 2016

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Lydia Mutheu (Guest) on October 13, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Charles Wafula (Guest) on October 11, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Rose Kiwanga (Guest) on May 24, 2016

Bwana yuko karibu na wote wanaomwita

Lucy Kimotho (Guest) on May 13, 2016

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Chris Okello (Guest) on May 7, 2016

Nguvu hutoka kwa Bwana

Lucy Kimotho (Guest) on April 12, 2016

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Samson Mahiga (Guest) on March 26, 2016

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Violet Mumo (Guest) on January 27, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Paul Ndomba (Guest) on December 18, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Alice Mwikali (Guest) on November 29, 2015

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Richard Mulwa (Guest) on November 1, 2015

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Jacob Kiplangat (Guest) on October 6, 2015

Rehema zake hudumu milele

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 14, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Mariam Kawawa (Guest) on June 22, 2015

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Rose Lowassa (Guest) on April 15, 2015

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Related Posts

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Sala ya Baba Yetu: Sala ya Bwana

Baba Yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe;
ufalme wako ufike,
... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

AMRI ZA KANISA

AMRI ZA KANISA

1. HUDHURIA MISA TAKATIFU DOMINIKA NA SIKUKUU ZILZOAMRIWA

2. FUNGA SIKU YA JUMATANO YA MAJI... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

SALA YA KUTUBU

SALA YA KUTUBU

Mungu wangu ninatubu sana, niliyokosa kwako, kwani ndiwe mwema, ndiwe mwenye kupendeza, wachukiz... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Sala za kuheshimu Damu Takatifu ya Yesu

Tusali kila siku sala hizi, angalau kwa mwezi wa saba (Julai) kila mwaka, mwezi wa kuhesh... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About