Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA IMANI

Featured Image

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;

Kwani ndiwe uliyefundisha hayo,

wala hudanganyiki,

wala hudanganyi. Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Patrick Akech (Guest) on October 25, 2017

Sifa kwa Bwana!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 19, 2017

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Anna Sumari (Guest) on September 14, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Mary Mrope (Guest) on August 19, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Sarah Karani (Guest) on July 5, 2017

Imani inaweza kusogeza milima

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 8, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Lucy Kimotho (Guest) on March 6, 2017

Mwamini katika mpango wake.

Elizabeth Mtei (Guest) on September 30, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Fredrick Mutiso (Guest) on August 23, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Nancy Akumu (Guest) on June 20, 2016

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

Stephen Kangethe (Guest) on May 19, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Francis Njeru (Guest) on February 24, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Grace Minja (Guest) on February 20, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Jane Muthui (Guest) on December 9, 2015

Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika

Tabitha Okumu (Guest) on October 23, 2015

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Nora Kidata (Guest) on August 31, 2015

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Irene Makena (Guest) on August 24, 2015

Neema ya Mungu inatosha kwako

Peter Mbise (Guest) on July 25, 2015

Nguvu hutoka kwa Bwana

Isaac Kiptoo (Guest) on July 25, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Charles Mrope (Guest) on July 23, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Esther Nyambura (Guest) on June 25, 2015

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Lucy Wangui (Guest) on May 9, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Anna Malela (Guest) on May 6, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Related Posts

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

Majitoleo kwa Bikira Maria

Majitoleo kwa Bikira Maria

(Sala iliyotungwa na Mtk. Aloisi)
Bibi yangu mtukufu Maria, nakuwekea amana ya roho yangu na... Read More

Sala ya Saa Tisa

Sala ya Saa Tisa

✝⌚✝

Sala ya saa tisaπŸ™πŸΎ

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)