Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA MATUMAINI

Featured Image

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na utukufu mbinguni,

kwani ndiwe uliyeagana hayo nasi,

nawe mwamini. Amina

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Mahiga (Guest) on August 24, 2017

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Joyce Mussa (Guest) on June 19, 2017

πŸ™πŸ’–πŸ’« Mungu ni mwema

Violet Mumo (Guest) on March 8, 2017

Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao

Mary Sokoine (Guest) on March 1, 2017

Mwamini Bwana; anajua njia

Faith Kariuki (Guest) on February 19, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mkombozi

David Musyoka (Guest) on February 10, 2017

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

Esther Nyambura (Guest) on December 1, 2016

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Joseph Kiwanga (Guest) on November 30, 2016

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Andrew Mchome (Guest) on October 10, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Peter Tibaijuka (Guest) on June 7, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

Sarah Achieng (Guest) on June 3, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Mariam Kawawa (Guest) on May 18, 2016

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

David Ochieng (Guest) on April 28, 2016

Mwamini katika mpango wake.

Lydia Wanyama (Guest) on February 21, 2016

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

John Lissu (Guest) on February 14, 2016

Imani inaweza kusogeza milima

Moses Kipkemboi (Guest) on December 21, 2015

Neema na amani iwe nawe.

Francis Njeru (Guest) on December 16, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Jacob Kiplangat (Guest) on October 31, 2015

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Victor Kamau (Guest) on September 11, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

John Lissu (Guest) on June 24, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Alice Wanjiru (Guest) on May 31, 2015

Katika imani, yote yanawezekana

George Mallya (Guest) on May 24, 2015

πŸ™πŸ’– Mungu wetu asifiwe

Joseph Kawawa (Guest) on May 8, 2015

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Related Posts

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

LITANIA YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Bwana utuhurumie Bwana utuhurumie
Kristo utuhurumie Kristo utuhurumie
Bwana utuhurumie ... Read More

Kuweka nia njema

Kuweka nia njema

Kumheshimu Mungu wangu, Namtolea roho yangu, Nifanye kazi nipumzike, Amri zake tu nishike, Wazo n... Read More

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

SALA MBELE YA SAKRAMENTI KUU I

Utukuzwe ee Bwana wangu Yesu Kristo./ Uliagua kifo chako./ Katika karamu ya mwisho ulitumia mkate... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)