Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUWAOMBEA MAPADRE

Featured Image

Ee Bwana Yesu Kristo. Mkombozi wetu, kwa mapendo na tamaa yako ya kutaka kulinda vema Kanisa lako, ukachagua Mapadri wawe Wachungaji na Viongozi wa roho za watu. Nakuomba sana; ubariki nia na bidii inayowapasa Mapadri wote katika kazi zao. Uwaongezee Utakatifu.

Uwatie moyo mzuri wenye mapendo makubwa kwako na roho za watu. Hivyo wakiisha kupata wenyewe Utakatifu, waweze kuwaongoza vizuri watu walio chini ya ulinzi wao, katika njia ya Utakatifu na furaha ya milele. Uwajalie neema zote za hali ya Upadri. Uwajalie ili waonyeshe kila siku ya maisha yao mfano wa kila fadhila ya mapendo na ya uaminifu katika Kanisa, kwa Baba Mtakatifu na kwa Maaskofu.

Yesu mpendelevu, uangalie kwa mapendo kazi na mateso ya Mapadri wako; ubariki na ustawishe mafundisho yao; wanapowafundisha watoto, wanapowahubiria watu, wanapowatuliza wakosefu watubu na wanapowasaidia wagonjwa na wale wanaokaribia mauti, Ee Yesu uwe pamoja nao. Uwakinge na hatari zote za roho na za mwili.

Mwokozi Yesu, ulijalie Kanisa liwe na Mapadri wengi walio Watakatifu. Uwajalie watoto na vijana wengi wasikie wito wa Upadri, uwatie furaha na Utakatifu na roho za Mapadri waliokufa uzijalie punziko la amani.

Kwa mimi mwenyewe Ee Yesu mpendelevu, naomba unijalie roho ya imani na utii mnyenyekevu ili niwaheshimu Mapadri kama Mawakili wa Mungu. Niwatii katika njia zote za wokovu wa roho yangu. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Faith Kariuki (Guest) on August 20, 2017

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Nancy Kabura (Guest) on August 16, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Elizabeth Mtei (Guest) on July 17, 2017

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Sarah Achieng (Guest) on June 22, 2017

Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine

Peter Mwambui (Guest) on June 12, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Grace Majaliwa (Guest) on May 23, 2017

Neema ya Mungu inatosha kwako

Lucy Mushi (Guest) on March 29, 2017

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Anna Sumari (Guest) on December 31, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Peter Mwambui (Guest) on November 5, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

James Malima (Guest) on October 31, 2016

Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha

Irene Akoth (Guest) on August 5, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

James Malima (Guest) on July 24, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Joyce Nkya (Guest) on July 5, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Grace Mushi (Guest) on May 17, 2016

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Grace Njuguna (Guest) on May 9, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Christopher Oloo (Guest) on February 17, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Mary Kendi (Guest) on January 6, 2016

Tumaini ni nanga ya roho

John Lissu (Guest) on January 6, 2016

Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

Agnes Lowassa (Guest) on November 14, 2015

Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia

Sharon Kibiru (Guest) on September 4, 2015

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Anna Mahiga (Guest) on July 11, 2015

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Irene Makena (Guest) on June 28, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Joseph Njoroge (Guest) on June 7, 2015

Rehema hushinda hukumu

Related Posts

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

Litani ya Bikira Maria

Litani ya Bikira Maria

  • Bwana utuhurumie
  • Bwana utuhurumie
  • Kristo utuhurumie
  • Bwana utuhurumie... Read More
SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Sala ya Medali ya Mwujiza

Sala ya Medali ya Mwujiza

Ee Bikira Maria uliyekingiwa dhambi ya asili, utuombee sisi wenye kukimbilia kwako, uwaombee na w... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

SALA WAKATI WA KUJIBARIKI NA MAJI YA BARAKA

Kwa njia ya Maji haya ya Baraka,

na kwa njia ya Damu yako azizi,

na kwa maombezi ya M... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina y... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About