Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Novena ya Noeli

Featured Image

Novena ya Noeli (maarufu kama novena ya Mt. Andrea)

Husaliwa kuanzia tar 30 Nov hadi usiku wa Noeli, tar 24 Disemba. Inajulikana kama novena ya Mt. Andrea kwa sababu novena hii huanza kusaliwa katika siku ya kumbukumbu ya Mt. Andrea Mtume.

"IHESHIMIWE, NA IBARIKIWE, SAA ILE NA WAKATI ULE, AMBAO MWANA WA MUNGU, ALIZALIWA NA BIKIRA MBARIKIWA SANA, USIKU WA MANANE, KULE BETHLEHEM, WAKATI WA BARIDI KALI.
WAKATI HUO, UPENDE E MUNGU WANGU, KUSIKIA MAOMBI YANGU, NA KUNIJALIA YALE NINAYOYAOMBA KWAKO, KWA NJIA YA MASTAHILI YA MWOKOZI WETU YESU KRISTO, NA YA MAMA YAKE MBARIKIWA. AMINA. (Sali mara 15 kwa siku).

Inasadikika kuwa chochote uombacho kwa imani kwa sala hii utakipata mradi kipatane na mapenzi ya Mungu. Sali na watoto/ familia kuwatafakarisha na kuwaongezea matazamio juu ya sikukuu ya Noeli.

Isambaze sala hii kwa wengine.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Faith Kariuki (Guest) on November 2, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Benjamin Masanja (Guest) on August 8, 2017

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Fredrick Mutiso (Guest) on June 12, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

John Malisa (Guest) on April 1, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Robert Okello (Guest) on March 30, 2017

πŸ™πŸŒŸβ€οΈ Nakuombea heri

Faith Kariuki (Guest) on March 25, 2017

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

John Lissu (Guest) on February 20, 2017

πŸ™πŸŒŸ Namuomba Mungu akupiganie

Joy Wacera (Guest) on January 15, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Moses Kipkemboi (Guest) on November 27, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Baraka za Mungu ziwe nawe

Robert Ndunguru (Guest) on November 22, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Edward Lowassa (Guest) on November 1, 2016

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Alice Mrema (Guest) on September 24, 2016

Baraka kwako na familia yako.

Mary Njeri (Guest) on August 22, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

Frank Sokoine (Guest) on August 22, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Rose Lowassa (Guest) on June 29, 2016

Sifa kwa Bwana!

Mary Kendi (Guest) on June 23, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Joy Wacera (Guest) on March 15, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Betty Cheruiyot (Guest) on March 11, 2016

πŸ™πŸ’– Asante kwa neema zako Mungu

Susan Wangari (Guest) on March 10, 2016

πŸ™βœ¨πŸ’– Mungu atajibu maombi yako

Paul Kamau (Guest) on February 28, 2016

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Elizabeth Mrema (Guest) on October 21, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Elizabeth Mrope (Guest) on August 12, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Grace Mligo (Guest) on April 26, 2015

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Related Posts

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na Mungu wangu/ ambaye ninasadiki kuwa upo hapa/ katika Sakramenti T... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

SALA YA KUMWOMBA MTAKATIFU TERESIA WA MTOTO YESU

Ee Mtakatifu Teresia wa mtoto Yesu, ulistahili kuitwa Msimamizi wa misioni katoliki za dunia yote... Read More

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

SALA YA MTU ALIYEKABILIWA NA MATATIZO MBALIMBALI

Ewe Mtakatifu Yuda Tadei,/ mtume mtukufu na shahidi wa Kristo,/ umesifika pote kwa wepesi wako wa... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

Kanuni ya imani

Kanuni ya imani

Nasadiki kwa Mungu, Baba Mwenyezi,/ mwumba mbingu na dunia./ Na kwa Yesu Kristu, Mwanaye wa pekee... Read More

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA ZA KUMWABUDU YESU KATIKA EKARISTI TAKATIFU

SALA YA KUMWABUDU BWANA YESU KATIKA SAKRAMENTI TAKATIFU

Ee Yesu Kristu,/ Bwana wangu na M... Read More

AMRI ZA MUNGU

AMRI ZA MUNGU

1. NDIMI BWANA MUNGU WAKO, USIABUDU MIUNGU WENGINE.
2. USILITAJE BURE JINA LA MUNGU WAKO.Read More

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

ROZARI YA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Tumia tasbihi ya kawaida yenye chembe ndogo 53.

Kwenye Msalaba Sali:

... Read More
SALA YA MATUMAINI

SALA YA MATUMAINI

Mungu wangu,

natumaini kwako nitapewa kwa njia ya Yesu Kristu,

neema zako duniani na ... Read More

SALA YA MTAKATIFU INYASI

SALA YA MTAKATIFU INYASI

Roho ya Kristo unitakase
Mwili wa Kristo uniokoe
Damu ya Kristo unifurahishe
Maji ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About