Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Malkia wa Mbingu

Featured Image

Malkia wa mbingu, furahi, aleluya. Kwani uliyestahili kumchukua, Aleluya. Amefufuka alivyosema, Aleluya. Utuombee kwa Mungu, Aleluya. Furahi shangilia, ee Bikira Maria, Alaluya. Kwani hakika Bwana amefufuka Aleluya. Tuombe. Ee Mungu, uliyependa kuifurahisha dunia kwa kufufuka kwake Bwana wetu Yesu Kristu, Mwanao: fanyiza, twakuomba, kwa ajili ya Bikira Maria, tupate nasi furaha za uzima wa milele. Tunaomba hayo kwa njia ya Kristu Bwana wetu. Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Ochieng (Guest) on June 28, 2017

Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni

Victor Kamau (Guest) on May 16, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Grace Njuguna (Guest) on May 10, 2017

πŸ™βœ¨ Neema ya Mungu iwe nawe

Samson Tibaijuka (Guest) on January 28, 2017

Katika imani, yote yanawezekana

Nora Kidata (Guest) on October 28, 2016

Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia

Agnes Sumaye (Guest) on September 2, 2016

Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

David Kawawa (Guest) on May 28, 2016

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Catherine Naliaka (Guest) on April 29, 2016

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Henry Mollel (Guest) on April 15, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Benjamin Masanja (Guest) on April 8, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Betty Akinyi (Guest) on March 25, 2016

πŸ™πŸ™πŸ™

Alice Mwikali (Guest) on March 11, 2016

Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha

David Chacha (Guest) on February 6, 2016

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Ruth Mtangi (Guest) on December 19, 2015

Hauko peke yako; Mungu yuko nawe

Elizabeth Mrope (Guest) on December 11, 2015

Dumu katika Bwana.

Wilson Ombati (Guest) on November 23, 2015

Ahadi za Mungu ni za kweli daima

Alice Mwikali (Guest) on October 24, 2015

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Emily Chepngeno (Guest) on September 16, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Mungu akujalie furaha

Susan Wangari (Guest) on September 10, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Monica Lissu (Guest) on August 27, 2015

Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi

Lydia Mutheu (Guest) on August 24, 2015

Mungu akubariki!

Margaret Mahiga (Guest) on July 30, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

David Sokoine (Guest) on April 15, 2015

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Related Posts

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Sala ya Usiku kabla ya kulala

Kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Amina.

SALA YA KUSHUKURU

Tunakus... Read More

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

SALA KWA MTAKATIFU YUDA TADEI

Mtakatifu Yuda Tadei,/ Mtume Mtakatifu,/ mtumishi mwaminifu na rafiki wa Yes... Read More

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Sala ya Asubuhi ya kila siku

Kwa jina la Baba….. Ee Baba yetu Mungu mkuu,umenilinda usiku huu. Nakushukuru kwa moyo, ee Baba,M... Read More
ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

ROZARI YA MATESO SABA YA BIKIRA MARIA

Tumia Rozari ya Mateso Saba ya Bikira Maria iliyo na mafungu 7 yaani mateso 7 yenye Salamu Maria... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Novena ya Siku tisa kwa Mtakatifu Agustino wa Hippo: Sala zote na Litania

Anza Novena hii tarehe 19 Agosti ili kumalizia tarehe 27 Agosti na kush... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

LITANIA YA KUWAOMBEA MAPADRE WOTE 1

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

SALA KWA MT. YOSEFU KWA AJILI YA KULIOMBEA KANISA LA MAHUJAJI

Ee Mtukufu Mt. Yosefu, ulichaguliwa na Mungu kuwa Baba Mlishi wa Yesu, mchumba safi kabisa wa Mar... Read More

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU

Ee Mt. Yosefu, Baba Mlishi wa Mwokozi wangu, na mchumba safi wa Mama wa Mungu, leo ninakuchagua w... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About