Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA KWA MT. YOSEFU KUOMBA KUFAHAMU WITO WAKO

Featured Image

Ee uliye Mkuu, Mt. Yosefu, uliyatii kabisa maongozi ya Roho Mt. Unijalie neema ya kufahamu aina ya maisha ambayo Mungu anapenda mimi niishi. Usiniache nidanganyike katika jambo muhimu kama hili, ambalo furaha yangu hapa duniani inalitegemea, na hata pia wokovu wa roho yangu.

Unijalie, nikiangazwa na matakwa matakatifu na nikiwa mwaminifu katika kuyatimiza, nikumbatie aina ya maisha ambayo Mungu ameniandalia na yatakayoniongoza kwenye furaha ya milele.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 15, 2017

Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake

Anna Sumari (Guest) on June 7, 2017

Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida

Victor Sokoine (Guest) on June 2, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Peter Otieno (Guest) on February 24, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

Margaret Anyango (Guest) on February 12, 2017

πŸ™πŸ’–βœ¨ Neema yako ni ya kutosha

Violet Mumo (Guest) on February 9, 2017

Nguvu hutoka kwa Bwana

Joseph Kiwanga (Guest) on February 8, 2017

Neema na amani iwe nawe.

Ruth Mtangi (Guest) on December 1, 2016

πŸ™β€οΈπŸŒŸ Asante Mungu kwa uhai

Grace Wairimu (Guest) on November 23, 2016

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Jane Muthoni (Guest) on November 21, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Raphael Okoth (Guest) on October 17, 2016

Wakati wa Mungu ni kamilifu

James Mduma (Guest) on October 7, 2016

Katika imani, yote yanawezekana

Moses Kipkemboi (Guest) on September 20, 2016

πŸ™β€οΈ Mungu ni mwaminifu

Henry Sokoine (Guest) on September 15, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Jane Muthui (Guest) on May 2, 2016

Upendo wa Mungu haukosei kamwe.

Irene Akoth (Guest) on April 4, 2016

Mungu ni mwema, wakati wote!

Peter Tibaijuka (Guest) on February 1, 2016

Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia

John Lissu (Guest) on January 13, 2016

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Jane Malecela (Guest) on November 26, 2015

Tembea kwa imani, si kwa kuona

Anna Mahiga (Guest) on September 7, 2015

πŸ™β€οΈβœ¨ Asante Mungu kwa kila kitu

Peter Otieno (Guest) on August 12, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Michael Onyango (Guest) on August 3, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

John Malisa (Guest) on June 11, 2015

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Related Posts

SALA YA MAPENDO

SALA YA MAPENDO

Mungu wangu,

nakupenda zaidi ya cho chote,

kwani ndiwe mwema,

ndiwe mwenye kupe... Read More

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchum... Read More

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA MUHIMU ZA MKRISTO ZA KILA SIKU ASUBUHI

SALA YA ASUBUHI

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu,... Read More

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

SALA YA UHAI KWA MT. YOSEFU

(Sala hii inafaa sana kwa ajili ya kutetea uhai wa watoto wachanga wakiwa tumboni mwa mama za... Read More

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

SALA KWA BIKIRA MARIA KATIKA UKIWA WAKE

Nakusikitikia sana Mama Mtakatifu Maria kwa sababu ya ukiwa wako mkuu. Uchungu wako ulikuwa mkubw... Read More

Sala fupi ya Asubuhi

Sala fupi ya Asubuhi

Tuusifu Utatu Mtakatifu wa Mungu Mwenyezi, Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, milele na milele, Amina... Read More

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

SALA YA NOVENA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

Ee Moyo Mtakatifu sana wa Yesu, chemchemi ya kila baraka, ninakuabudu, ninakupenda, na kwa majuto... Read More

Sala ya kuomba Kifo chema

Sala ya kuomba Kifo chema

Enyi Yesu na Maria na Yosefu,

nawatolea Moyo, na roho, na uzima wangu.

Enyi Yesu na M... Read More

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

ROSARI YA BIKIRA MARIA MAMA WA MSAADA WA DAIMA

Namna ya kusali Rozari kwa Bikira Maria Mama wa Msaada wa Daima

(Tumia rosari ya kawaida... Read More

SALAMU MARIA

SALAMU MARIA

Salamu Maria
Umejaa neema
Bwana yu nawe
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Na Y... Read More

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

SALA KWA MTAKATIFU MIKAELI MALAIKA MKUU

Mtakatifu Mikaeli Malaika Mkuu, utulinde katika vita, uwe kinga yetu katika maovu na maoteo ya sh... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About