Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

SALA YA KUMWOMBA MT. YOSEFU MSAADA (SALA KUU KWA MTAKATIFU YOSEFU)

Featured Image

Ee Mt. Yosefu mwenye heri, tunakimbilia kwako katika masumbuko yetu, na kisha omba shime ya Mchumba wako Mtakatifu, tunaomba pia kwa matumaini usimamizi wako. Kwa ajili ya mapendo uliyompenda Bikira Mtakatifu Mzazi wa Mungu, na kwa ajili ya kumtunza Mtoto Yesu, twakuomba sana, utuangalie kwa wema sie tuliokuwa fungu lake Yesu Kristu, tukakombolewa kwa damu yake. Tusimamie katika masumbuko yetu kwa enzi na shime yako.


Ee Mlinzi amini wa jamaa takatifu, uwakinge watoto wateule wa Yesu Kristu.
Ee Baba uliyetupenda mno tuepushe na kilema chochote cha madanganyo na upotevu. Ee kinga yetu mwezaji, utusimamie huko juu mbinguni ulipo, tunaposhindana na wenye nguvu wakaao gizani. Kama vile siku za kale ukamwopoa Mtoto Yesu katika hatari ya kuuawa, na leo hivi likinge Kanisa Takatifu la Mungu katika mitego ya adui, na katika shida yote; mtunze daima kila mmoja wetu, tufwate mfano wako, ili tupate na msaada wako, kukaa na utakatifu maisha, kufa kifo chema, na kupata mbinguni makao ya raha milele.
Amina.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Diana Mallya (Guest) on December 2, 2017

Amina

Victor Mwalimu (Guest) on November 9, 2017

Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako

George Wanjala (Guest) on July 10, 2017

Kwa Mungu, yote yanawezekana

Grace Majaliwa (Guest) on April 28, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu ni mlinzi wetu

Stephen Amollo (Guest) on April 1, 2017

πŸ™βœ¨ Mungu asikie maombi yetu

Chris Okello (Guest) on March 18, 2017

Baraka kwako na familia yako.

Victor Kimario (Guest) on March 11, 2017

πŸ™πŸŒŸ Mungu akujalie amani

Joseph Kitine (Guest) on March 7, 2017

πŸ™πŸŒŸ Neema za Mungu zisikose

David Kawawa (Guest) on February 23, 2017

Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe

Paul Kamau (Guest) on February 9, 2017

πŸ™πŸ™πŸ™

Mary Njeri (Guest) on January 26, 2017

πŸ™β€οΈ Mungu akubariki

Daniel Obura (Guest) on October 22, 2016

πŸ™πŸ’– Nakushukuru Mungu

Michael Mboya (Guest) on October 8, 2016

Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi

Anna Malela (Guest) on July 23, 2016

πŸ™βœ¨β€οΈ Tumwombe Mungu kila siku

Alex Nakitare (Guest) on July 3, 2016

Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

Fredrick Mutiso (Guest) on July 1, 2016

Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

Alex Nyamweya (Guest) on January 21, 2016

πŸ™πŸŒŸ Mbarikiwe sana

Janet Sumaye (Guest) on December 28, 2015

Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu

Lucy Wangui (Guest) on August 7, 2015

πŸ™βœ¨ Mungu atupe nguvu

Sarah Achieng (Guest) on July 20, 2015

πŸ™β€οΈπŸ’– Bwana akujalie baraka

Elizabeth Mrema (Guest) on July 9, 2015

Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu

Mary Sokoine (Guest) on June 18, 2015

Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako

Ruth Wanjiku (Guest) on May 19, 2015

Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini

Ann Wambui (Guest) on May 3, 2015

πŸ™βœ¨β€οΈ Neema za Mungu zikufunike

Related Posts

Sala kwa wenye kuzimia

Sala kwa wenye kuzimia

Ee Yesu mwenye huruma, mpenda roho za watu, nakuomba kwa ajili ya kuzimia kwa Moyo wako Mtakatifu... Read More

SALA YA IMANI

SALA YA IMANI

Mungu wangu,

nasadiki maneno yote linalosadiki na linalofundisha kanisa katoliki la Roma;Read More

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

SALA KWA MALAIKA WAKO MLINZI

Malaika wa Mungu Mlinzi wangu mpenzi,
Ambaye upendo wake unanifanya niwepo hapa,
Uwe na... Read More

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

SALA YA MAJITOLEO KWA MAMA WA HUZUNI

Mama Mtakatifu, Mama wa Mungu na Malkia wa Mashahidi, leo nakuchagua Wewe uwe mfano wangu, mkinga... Read More

SALA YA JIONI

SALA YA JIONI

TUNAKUSHUKURU, EE MUNGU KWA MAPAJI YOTE ULIYOTUJALIA LEO AMINA


BABA YETU…………β... Read More

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Majitoleo ya asubuhi kwa Bikira Maria

Ee Yesu, kupitia mikono safi ya Bikira Maria, na kwa maungano na sadaka yako kuu, ninakutolea sal... Read More

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

SALA YA KUOMBEA FAMILIA

Ewe Mungu Mwenyezi, sisi kama familia tunakushukuru kwa zawadi ya Mama Kanisa Katoliki ambaye sik... Read More

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

Matendo ya Rozari Takatifu: Mchanganuo kwa siku zote za Saba za Juma

MATENDO YA FURAHA (Jumatatu na Jumamosi)

Kwa ajili ya Baba Mtakatifu wetu ..(N); Bwana, umpe moyo wako wa uchungaji ... Read More

Majitoleo ya Asubuhi

Majitoleo ya Asubuhi

Ee Baba yetu Mungu Mkuu, Umenilinda usiku huu, Ninakushukuru kwa moyo, Ee Baba, Mwana na Roho, Ni... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About