Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.

Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.

Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=

Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.

Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.

Meneja akaja kuwasikiliza

Babu:Β " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"

Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "

Babu;Β "Lakini hatukuyatumia"

Manager;Β "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"

Babu:Β "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"

meneja:Β "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"

Babu:Β "Lakini sisi hatukuwasikiliza"

Meneja:Β "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"

Babu;Β aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,

Bibi akaandika akampa meneja.

Meneja anaangalia anaona sh. 50,000

Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"

Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"

Meneja akajibu; "Lakini sijalala"

Bibi :"ungeweza kama ungetaka"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Mallya (Guest) on March 23, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Stephen Mushi (Guest) on February 22, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on February 15, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Charles Mchome (Guest) on February 11, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Moses Mwita (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Mligo (Guest) on December 29, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on December 26, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on November 29, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on November 8, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on September 22, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on September 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

George Tenga (Guest) on September 10, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

James Kimani (Guest) on August 30, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on August 23, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Anthony Kariuki (Guest) on August 12, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Edward Chepkoech (Guest) on July 27, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Issack (Guest) on July 25, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Agnes Sumaye (Guest) on June 24, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Tabu (Guest) on June 17, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Samuel Were (Guest) on June 12, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on June 11, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Salma (Guest) on May 18, 2021

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Francis Mtangi (Guest) on April 24, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on April 3, 2021

Asante Ackyshine

Bernard Oduor (Guest) on March 29, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 17, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on March 3, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Nahida (Guest) on February 24, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Grace Wairimu (Guest) on February 5, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Komba (Guest) on January 30, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nora Kidata (Guest) on January 1, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Tabu (Guest) on December 19, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on December 9, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on November 25, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 7, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Tabu (Guest) on October 24, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Salum (Guest) on September 24, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 4, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Monica Adhiambo (Guest) on August 30, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on August 26, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on August 17, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on July 20, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Jacob Kiplangat (Guest) on July 8, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on July 4, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lucy Mahiga (Guest) on July 4, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

James Kimani (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Agnes Sumaye (Guest) on May 25, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Michael Mboya (Guest) on May 12, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Sumaye (Guest) on May 10, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 17, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Janet Mwikali (Guest) on April 11, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on March 25, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on March 19, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Farida (Guest) on March 3, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Fadhila (Guest) on February 28, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Mugendi (Guest) on January 30, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on January 15, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on January 6, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on December 24, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More